RIPOTI MAALUM: Wafungwa waendesha uhalifu wakiwa gerezani
Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na vitendo vya uhalifu, imebainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu ambao unawawezesha baadhi ya watu waliofungwa kuratibu matukio ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ripoti Maalumu; Wafungwa waagiza nyamapori gerezani
10 years ago
Mwananchi25 Oct
RIPOTI MAALUM: Wafungwa waagiza nyama ya porini
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wafungwa watoroka gerezani mjini Bangui
10 years ago
StarTV16 Dec
Wafungwa wakutwa wakila raha gerezani.
Polisi mjini Manila wamevamia gereza moja na kuushangaza umma wa Philippines baada ya kung’amua maisha ya anasa yanayoendelea ndani ya gereza hilo kwa kikundi cha baadhi ywa wafungwa wenye upendeleo wa kipekee.
Uvamizi huo umefanywa katika gereza hilo la Bilibid lenye wafungwa wengi nchini humo kufuatia taarifa kwamba mtandao wa dawa za kulevya nchini humo unafanya kazi katika gereza hilo kwa njia za panya.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/05/02/140502122905_philippine_police_cyber_crime_press_conference_512x288_afp_nocredit.jpg)
Baada ya uvamizi huo maafisa wa polisi walikuta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200507-WA0067.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA WAKIWA NJIANI KWENDA KUFANYA UHALIFU MKOANI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0067.jpg)
Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye Suti ya blue wakitoka kukagua gari Lilikuwa likitumiwa na majambazi hao aina ya Toyota Crown lenye namba za usajili T777DSJ wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa majambazi wanne Leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylOvAwQpzvU/XrQ5TohDcNI/AAAAAAAAJUc/0g761e9A5BAAV6LbnER7x8vL7HftMTYlgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0068.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akilipongeza Jeshi la Polisi kwa kutumia sheria ya tii bila shuruti na kufanikiwa kukamata majambazi wanne bila kuwapiga...
11 years ago
GPL07 May
GLOBAL TV ONLINE; KIPINDI MAALUM KUHUSU MGOGORO WA WAENDESHA BODABODA DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
RIPOTI MAALUM:Muhimbili hali ni mbaya
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.thecitizen.co.tz/image/view/-/1931172/highRes/550281/-/maxw/600/-/1278jarz/-/muhim.jpg)
Kukosekana kwa fedha za kutosha za kuendesha hospitali hiyo huku ikielemewa na madeni mengi ya watoa huduma, kumefanya ubora wa huduma za kitabibu zinazotolewa kuwa duni kiasi cha kwamba mgonjwa asiye...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-12ezfqOVXOM/U5TXEZS_g7I/AAAAAAAAAqg/Cf-xnMDRNXU/s72-c/Tobiko-pic.jpg)
KENYA KUANZISHA KITENGO MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-12ezfqOVXOM/U5TXEZS_g7I/AAAAAAAAAqg/Cf-xnMDRNXU/s1600/Tobiko-pic.jpg)
"Kwa mtazamo wa kuongezeka kwa uhalifu wa mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Umma (ODPP) imeanzisha kitengo maalumu kusimamia mashtaka ya wahalifu wa mtandao," Tobiko...