Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIPOTI MAALUM: Wafungwa waendesha uhalifu wakiwa gerezani

Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na vitendo vya uhalifu, imebainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu ambao unawawezesha baadhi ya watu waliofungwa kuratibu matukio ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ripoti Maalumu; Wafungwa waagiza nyamapori gerezani

Katika gazeti hili jana tulianza kuwaletea mfululizo wa Ripoti Maalumu kuhusu kubainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu ambao unawawezesha baadhi ya watu kuratibu matukio ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

10 years ago

Mwananchi

RIPOTI MAALUM: Wafungwa waagiza nyama ya porini

>Katika tovuti hii wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya pili ya mfululizo wa Ripoti Maalumu kuhusu kubainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu unaowawezesha baadhi ya watu kuratibu matukio  ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Leo tunaendelea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafungwa watoroka gerezani mjini Bangui

Takriban wafungwa 500 wametoroka gerezani mjini Bangui nchini Jamuhuri ya Afrika ya kati

 

10 years ago

StarTV

Wafungwa wakutwa wakila raha gerezani.

Polisi mjini Manila wamevamia gereza moja na kuushangaza umma wa Philippines baada ya kung’amua maisha ya anasa yanayoendelea ndani ya gereza hilo kwa kikundi cha baadhi ywa wafungwa wenye upendeleo wa kipekee.

Uvamizi huo umefanywa katika gereza hilo la Bilibid lenye wafungwa wengi nchini humo kufuatia taarifa kwamba mtandao wa dawa za kulevya nchini humo unafanya kazi katika gereza hilo kwa njia za panya.

Polisi nchini Phillipines

Baada ya uvamizi huo maafisa wa polisi walikuta...

 

5 years ago

Michuzi

WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA WAKIWA NJIANI KWENDA KUFANYA UHALIFU MKOANI ARUSHA


Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye Suti ya blue wakitoka kukagua gari Lilikuwa likitumiwa na majambazi hao aina ya Toyota Crown lenye namba za usajili T777DSJ wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa majambazi wanne Leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akilipongeza Jeshi la Polisi kwa kutumia sheria ya tii bila shuruti na kufanikiwa kukamata majambazi wanne bila kuwapiga...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE; KIPINDI MAALUM KUHUSU MGOGORO WA WAENDESHA BODABODA DAR

Ungana na Mtangazaji wako wa Global TV Online, Joseph Shaluwa katika Kipindi Maalum cha Mgogoro wa Waendesha Bodaboda jijini Dar.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO

Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiMAHABUSU wapya kupokelewa Gerezani mara baada ya kufanyiwa vipimo vya afya zao hii ni kufuatia kwa kuripotiwa kwa uwepo wa ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini.
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...

 

10 years ago

Vijimambo

RIPOTI MAALUM:Muhimbili hali ni mbaya

  Huduma zazidi kuzorota
  Wagonjwa wakosa matumainiHali ya huduma za tiba katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ni mbaya kutokana na tatizo kubwa la bajeti ya kuwezesha wagonjwa kutibiwa kwa wakati na kupata dawa na vifaa tiba, jambo ambalo hata uongozi wa hospitali hiyo umelithibitisha.

Kukosekana kwa fedha za kutosha za kuendesha hospitali hiyo huku ikielemewa na madeni mengi ya watoa huduma, kumefanya ubora wa huduma za kitabibu zinazotolewa kuwa duni kiasi cha kwamba mgonjwa asiye...

 

11 years ago

Ykileo

KENYA KUANZISHA KITENGO MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Bwana. Keriako Tobiko Mkurugenzi wa Mashtaka ya umma ya nchini Kenya Bwana. Keriako Tobiko ametangaza kuanzishwa kwa kitengo maalumu kitakacho pambana na  uhalifu mtandao katika ofisi yake. Amedai hatua hii imefikiwa kutokana na kuongezeka kwa idadi ya uhalifu unaofanywa na wahalifu wenye uelewa wa teknolojia.


"Kwa mtazamo wa kuongezeka kwa uhalifu wa mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Umma (ODPP) imeanzisha kitengo maalumu kusimamia mashtaka ya wahalifu wa mtandao," Tobiko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani