RIPOTI MAALUM:Muhimbili hali ni mbaya
Huduma zazidi kuzorota
Wagonjwa wakosa matumainiHali ya huduma za tiba katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ni mbaya kutokana na tatizo kubwa la bajeti ya kuwezesha wagonjwa kutibiwa kwa wakati na kupata dawa na vifaa tiba, jambo ambalo hata uongozi wa hospitali hiyo umelithibitisha.
Kukosekana kwa fedha za kutosha za kuendesha hospitali hiyo huku ikielemewa na madeni mengi ya watoa huduma, kumefanya ubora wa huduma za kitabibu zinazotolewa kuwa duni kiasi cha kwamba mgonjwa asiye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi11 years ago
Mwananchi18 May
Hali mbaya Magereza
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Ronaldo bado hali mbaya
11 years ago
GPLMASKINI JACK HALI MBAYA
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya
WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Hali mbaya ya hewa ni kikwazo Ufaransa
11 years ago
GPLMSANII BONGO MUVI HALI MBAYA
11 years ago
GPLMAPEMBE HALI MBAYA, AMLALAMIKIA KITALE
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Hali mbaya ya hewa yaikabili Zambia