Ripoti Maalumu; Wafungwa waagiza nyamapori gerezani
Katika gazeti hili jana tulianza kuwaletea mfululizo wa Ripoti Maalumu kuhusu kubainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu ambao unawawezesha baadhi ya watu kuratibu matukio ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
RIPOTI MAALUM: Wafungwa waagiza nyama ya porini
10 years ago
Mwananchi18 Oct
RIPOTI MAALUM: Wafungwa waendesha uhalifu wakiwa gerezani
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wafungwa watoroka gerezani mjini Bangui
10 years ago
StarTV16 Dec
Wafungwa wakutwa wakila raha gerezani.
Polisi mjini Manila wamevamia gereza moja na kuushangaza umma wa Philippines baada ya kung’amua maisha ya anasa yanayoendelea ndani ya gereza hilo kwa kikundi cha baadhi ywa wafungwa wenye upendeleo wa kipekee.
Uvamizi huo umefanywa katika gereza hilo la Bilibid lenye wafungwa wengi nchini humo kufuatia taarifa kwamba mtandao wa dawa za kulevya nchini humo unafanya kazi katika gereza hilo kwa njia za panya.
Polisi nchini PhillipinesBaada ya uvamizi huo maafisa wa polisi walikuta...
5 years ago
MichuziJESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
10 years ago
GPLRIPOTI MAALUMU YA CAG KUHUSU AKAUNTI YA ESCROW YAKABIDHIWA KWA MWENYEKITI WA PAC LEO
10 years ago
MichuziRipoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW yakabidhiwa kwa Mwenyekiti wa PAC leo
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi
Hizi ni baadhi ya stori kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni leo December 29 2015 kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania. Serikali yaweka mkakati wa udhibiti wa uuzaji wa matunda kando ya barabara, kipindupindu chaendelea kuwa tishio Mwanza, mmoja afariki… iko stori pia ya Waziri Ndalichako kuahidi kurudisha heshima kwenye sekta ya elimu Tanzania. […]
The post Biashara ya matunda? Wizi kwenye mizani? kufumuliwa Jeshi la Polisi? Mganga na nyamapori? #Uchambuzi appeared first on...
11 years ago
Habarileo10 May
Waagiza mapendekezo ya Tume Nansio kufanyiwa kazi
BARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza, limeagiza mapendekezo 28 ya tume iliyoundwa kuchunguza tatizo la maji mjini Nansio yafanyiwe kazi.