Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waagiza mapendekezo ya Tume Nansio kufanyiwa kazi

BARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza, limeagiza mapendekezo 28 ya tume iliyoundwa kuchunguza tatizo la maji mjini Nansio yafanyiwe kazi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge: Asilimia 75 ya mapendekezo ni ya Tume

Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge la Katiba, Andrew Chenge amesema Katiba inayopendekezwa imebeba asilimia 75 ya maudhui ya Rasimu ya iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

StarTV

Baadhi ya miswada ya sheria yakwama kufanyiwa kazi.

Na Joyce Mwakalinga

Dodoma.

 

Baadhi ya miswada ya sheria ya Serikali imekwama kufanyiwa kazi leo katika mkutano wa kumi na nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na sababu mbambali ikiwemo ya mahudhurio hafifu ya Wabunge.

Miswada hiyo ni pamoja na ule wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 ambao ulitakiwa kupigiwa kura pamoja na mswada wa sheria ya Takwimu wa mwaka 2013 uliokwama kutokana na kutokamilishwa kwa baadhi ya shughuli.

payday loan in arlington texas ...

 

11 years ago

Habarileo

Kipande cha Ndundu-Somanga kufanyiwa kazi kukwamua raia

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema Serikali inafanya jitihada za kutengeneza maeneo ya barabara ya kwenda mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara, ambayo yameharibika na kusababisha abiria kukwama njiani.

 

9 years ago

Mwananchi

Tume yakumbusha kazi ya mawakala

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka mawakala wa vyama vya siasa kufanya kazi kwa weledi na uadilifu katika kulinda kura za wagombea wa vyama vyao, ili Uchaguzi Mkuu umalizike kwa amani na utulivu.

 

11 years ago

Mwananchi

Bomani awashukia wanaobeza kazi ya Tume ya

Mwanasheria Mkuu mstaafu, Jaji Mark Boman amekitaka Chama cha Mapinduzi (CCM) kuachana na msimamo wake wa muundo wa Serikali mbili na kwamba, wawaachie wananchi waamue.

 

10 years ago

Habarileo

Tume ya Walimu kuanza kazi Julai

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.SERIKALI imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tume ya Katiba imekamilisha kazi, tuipongeze

Habari kwamba Tume ya Mabadiliko ya Katiba imekamilisha kazi ya kuandika Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya bila shaka zimepokewa kwa furaha na wananchi wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani