MAPENDEKEZO YA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA KWA JESHI LA POLISI NA CHAMA CHA CUF
![](http://img.youtube.com/vi/90CXu9YQeFE/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Jan
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaanza kuchunguza tukio la kukamatwa kwa wananchi walioshiriki mkutano wa CUF
Tume imesikitishwa na matukio yaliyotokea tarehe 27/01/2015 huko Mbagala Wilaya ya Temeke Dar-es-Salaam, matukio ambayo yameoneshwa na Kituo cha Televisheni cha “Channel Ten” ambayo yameashiria uvunjifu wa haki za binadamu.
Mnamo majira ya saa kumi na robo hadi kumi na nusu jioni, Kituo cha TV cha “Channel Ten” kilirusha picha zilizoonesha kupigwa na Polisi baadhi ya wananchi waliokamatwa kwa kile kilichoelezwa kushiriki mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliosemekana kuwa si halali.
Tume...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s72-c/unnamed.jpg)
Ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa ZEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea kwa mshituko mkubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mb) kilichotokea leo alfajiri Mei 01, 2020 Jijini Dodoma.
Tume inatoa pole kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuondokewa na kiongozi mchapakazi, mwadilifu, mzalendo na mwanadiplomasia mahiri aliyeiwakilisha na kuipigania Tanzania katika nyanja za Kimataifa...
9 years ago
MichuziTUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vh-a-2XiU-k/VVypBvGsC5I/AAAAAAADTZo/tQNKTNZrvhA/s72-c/MB1.jpg)
TUME ya haki za binadamu yatoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-vh-a-2XiU-k/VVypBvGsC5I/AAAAAAADTZo/tQNKTNZrvhA/s640/MB1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-txya5Lj76Q8/VdYiCUjRN0I/AAAAAAAHyss/wck66rHnOpU/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
JK AAGANA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-txya5Lj76Q8/VdYiCUjRN0I/AAAAAAAHyss/wck66rHnOpU/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKU4sJLZ20E/VdYiG8fRZNI/AAAAAAAHys8/38nU8n6EibU/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0hHOnGi3NtE/VdYh_SouenI/AAAAAAAHysc/8j9HGJDNM_M/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
9 years ago
MichuziTAMKO LA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0x_KiH_gk0/VioRcZl86qI/AAAAAAAIB68/OpGP3Al-cBA/s1600/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORAKitalu Na. 8, Mtaa wa LuthuliS.L.P 2643, DAR ES SALAAMSimu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222Faksi: +255 22 2111281Barua Pepe: chragg@chragg.go.tzTovuti: www.chragg.go.tz
Oktoba 23, 2015
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria kwa ajili ya Uchaguzi Huru, wa Haki na Amani
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekuwa ikifuatilia kwa karibu matamshi...
10 years ago
Habarileo08 Jan
JK ateua Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Bahame Nyanduga kuwa Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10