Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa ZEC

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar

DSC_0733

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.

DSC_0737

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.

Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc 

 

9 years ago

Michuzi

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika sherehe ya kumuaga mara baada ya kumaliza uongozi wake katika Serikali ya awamu ya nne. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Tom Nyanduga katika Sherehe iliyoandaliwa na Tume ya kumuaga mara baada ya kumaliza Uongozi wake.

 

9 years ago

Michuzi

JK AAGANA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora mara baada ya kuwasili katika ofisi yao.
 Baadhi ya viongozi wa Serikali pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na Baadhi ya wafanyakazi  wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika Sherehe ya kumuaga baada ya kumaliza uongozi wake katika serikali ya awamu ya nne. Mwenyekiti wa Tume ya Haki...

 

9 years ago

Michuzi

TAMKO LA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA


TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Kitalu Na. 8, Mtaa wa Luthuli

S.L.P 2643, DAR ES SALAAM

Simu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222

Faksi: +255 22 2111281

Barua Pepe: chragg@chragg.go.tz

Tovuti: www.chragg.go.tz


Oktoba 23, 2015


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI               Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria kwa ajili ya Uchaguzi Huru, wa Haki na Amani


TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)  imekuwa ikifuatilia kwa karibu matamshi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaanza kuchunguza tukio la kukamatwa kwa wananchi walioshiriki mkutano wa CUF

Untitled 1

Tume imesikitishwa na matukio yaliyotokea tarehe 27/01/2015 huko Mbagala Wilaya ya Temeke Dar-es-Salaam, matukio ambayo yameoneshwa na Kituo cha Televisheni cha “Channel Ten” ambayo yameashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Mnamo majira ya saa kumi na robo hadi kumi na nusu jioni, Kituo cha TV cha “Channel Ten” kilirusha picha zilizoonesha kupigwa na Polisi baadhi ya wananchi waliokamatwa kwa kile kilichoelezwa kushiriki mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliosemekana kuwa si halali.

Tume...

 

10 years ago

Habarileo

JK ateua Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Bahame Nyanduga kuwa Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk.Harrisson Mwakyembe atembelea tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini!!

DSC_1646

Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe akizungumza na wafanyakazi (hawapo pichani) wa Tume alipofanya ziara katika Ofisi hizo. Wanamsikiliza pembeni yake kwa bashasha (kulia) ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Bahame Nyanduga na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Iddi Mapuri.

 

Na Mbaraka Kambona,

Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe ameitembelea  Tume ya Haki za Binadamu...

 

5 years ago

CCM Blog

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAMPONGEZA JPM KUKUTANA NA WAPINZANI, IKULU

Itakumbukwa kuwa mapema wiki hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, . Dkt. John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi watatu wa vyama vya upinzani. 

Viongozi hao ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalimu Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bwana James Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD). 

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani