TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika sherehe ya kumuaga mara baada ya kumaliza uongozi wake katika Serikali ya awamu ya nne.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Tom Nyanduga katika Sherehe iliyoandaliwa na Tume ya kumuaga mara baada ya kumaliza Uongozi wake.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-txya5Lj76Q8/VdYiCUjRN0I/AAAAAAAHyss/wck66rHnOpU/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
JK AAGANA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-txya5Lj76Q8/VdYiCUjRN0I/AAAAAAAHyss/wck66rHnOpU/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKU4sJLZ20E/VdYiG8fRZNI/AAAAAAAHys8/38nU8n6EibU/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0hHOnGi3NtE/VdYh_SouenI/AAAAAAAHysc/8j9HGJDNM_M/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
9 years ago
MichuziTAMKO LA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0x_KiH_gk0/VioRcZl86qI/AAAAAAAIB68/OpGP3Al-cBA/s1600/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORAKitalu Na. 8, Mtaa wa LuthuliS.L.P 2643, DAR ES SALAAMSimu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222Faksi: +255 22 2111281Barua Pepe: chragg@chragg.go.tzTovuti: www.chragg.go.tz
Oktoba 23, 2015
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria kwa ajili ya Uchaguzi Huru, wa Haki na Amani
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekuwa ikifuatilia kwa karibu matamshi...
10 years ago
Habarileo08 Jan
JK ateua Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Bahame Nyanduga kuwa Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s72-c/unnamed.jpg)
Ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa ZEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Dk.Harrisson Mwakyembe atembelea tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini!!
Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe akizungumza na wafanyakazi (hawapo pichani) wa Tume alipofanya ziara katika Ofisi hizo. Wanamsikiliza pembeni yake kwa bashasha (kulia) ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Bahame Nyanduga na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Iddi Mapuri.
Na Mbaraka Kambona,
Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk Harrisson Mwakyembe ameitembelea Tume ya Haki za Binadamu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_102122_258.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAMPONGEZA JPM KUKUTANA NA WAPINZANI, IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s1600/IMG_20200307_102122_258.jpg)
Viongozi hao ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalimu Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bwana James Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)...
9 years ago
MichuziRais Kikwete atembelea na kuaga rasmi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YbAf1KfPZCs/U8aDkUVvQTI/AAAAAAAF2wk/Ij7EiHrpNCU/s72-c/Untitled.png)
Tume ya Haki za Binadamu na utawala Bora yaagana na Mtaalamu wa masuala ya ulinzi wa mtoto kutoka UNICEF
Bi Rachel amekuwa akifanya kazi karibu na Tume katika kipindi chote cha miaka mine (4) aliyokuwa nchini, baadhi ya kazi alizofanya akiwa na Tume ni pamoja na kuratibu kazi...