Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Dk Salim afichua siri ya JK na Tume ya Warioba
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Chenge: Asilimia 75 ya mapendekezo ni ya Tume
11 years ago
Habarileo10 May
Waagiza mapendekezo ya Tume Nansio kufanyiwa kazi
BARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza, limeagiza mapendekezo 28 ya tume iliyoundwa kuchunguza tatizo la maji mjini Nansio yafanyiwe kazi.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/90CXu9YQeFE/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Apr
JK: Sikuidhalilisha Tume ya Warioba
9 years ago
Habarileo12 Sep
Warioba afichua siri ya Ukawa
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amefichua siri ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akisema vilikwamisha mchakato huo ili baadaye viingize vipengele vyao wakiingia madarakani.
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Bunge lajigeuza Tume ya Warioba
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Ibara 28 za Tume ya Warioba zilizoondolewa
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Tume ya Warioba yavunjwa rasmi
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti Jaji Joseph Warioba. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na...