Bunge lajigeuza Tume ya Warioba
Neville Meena na Fidelis Butahe, Mwananchi Dodoma. Kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kukusanya maoni ya makundi na wananchi mbalimbali, kimepokewa kwa hisia tofauti, baadhi ya wasomi wakisema ni kinyume cha sheria na kuonyesha kutapatapa huku Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akisema linafanya kazi ambayo tayari tume yake ilishaifanya. Hata hivyo, Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad amesema litaendelea kupokea mapendekezo kutoka kwa watu na...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Apr
Kamati ya Bunge yairarua Tume ya Warioba
WAJUMBE wengi wa Kamati Namba Moja ya Bunge hilo, wameona kuwa hatua ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, kupendekeza uwepo wa serikali tatu, imekiuka Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kwaheri Tume ya Warioba, karibu Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo06 Aug
Wajumbe Bunge la Katiba waivaa Tume ya Warioba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si sahihi.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
JK: Sikuidhalilisha Tume ya Warioba
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Ibara 28 za Tume ya Warioba zilizoondolewa
11 years ago
Habarileo19 Mar
Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Mjumbe Tume ya Warioba alipuka
IMEELEZWA kuwa wanaoshinikiza serikali mbili katika uundwaji wa katiba ni sawa na wanyonyaji wa taifa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Tume ya Warioba kushiriki mdahalo
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Tume ya Warioba yavunjwa rasmi
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti Jaji Joseph Warioba. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na...