Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Bunge yairarua Tume ya Warioba

Ummy Mwalimu WAJUMBE wengi wa Kamati Namba Moja ya Bunge hilo, wameona kuwa hatua ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, kupendekeza uwepo wa serikali tatu, imekiuka Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bunge lajigeuza Tume ya Warioba

Neville Meena na Fidelis Butahe, Mwananchi Dodoma. Kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kukusanya maoni ya makundi na wananchi mbalimbali, kimepokewa kwa hisia tofauti, baadhi ya wasomi wakisema ni kinyume cha sheria na kuonyesha kutapatapa huku Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akisema linafanya kazi ambayo tayari tume yake ilishaifanya. Hata hivyo, Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad amesema litaendelea kupokea mapendekezo kutoka kwa watu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwaheri Tume ya Warioba, karibu Bunge la Katiba

>Safari ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeshafikia ukingoni, imefika hapa ilipofika. Imekwishakabidhi rasimu yake ya pili kwa Rais Jakaya Kikwete, sasa inasubiri tu kuiwasilisha katika Bunge Maalumu la Katiba mapema mwezi ujao.

 

11 years ago

Habarileo

Wajumbe Bunge la Katiba waivaa Tume ya Warioba

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si sahihi.

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Sikuidhalilisha Tume ya Warioba

 Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa hakuwa na nia ya kuidhalilisha Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati alipohutubia kulifungua Bunge Maalumu la Katiba, wiki mbili zilizopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Ibara 28 za Tume ya Warioba zilizoondolewa

>Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa bungeni juzi, imeondoa Ibara 28 zikiwamo zinazowataka viongozi wa umma kutopokea zawadi kwa manufaa yao binafsi wala kufungua akaunti ya benki nje ya nchi pasipo sababu maalumu, Mwananchi limebaini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe aishambulia Tume ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Assumpta Mshama, ameishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema kuwa licha ya usomi wa wajumbe waliopo, lakini wameandaa kitu ambacho kinataka kuwagawa Watanzania....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe Tume ya Warioba alipuka

IMEELEZWA kuwa wanaoshinikiza serikali mbili katika uundwaji wa katiba ni sawa na wanyonyaji wa taifa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la...

 

11 years ago

Habarileo

Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani