Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe aishambulia Tume ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Assumpta Mshama, ameishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema kuwa licha ya usomi wa wajumbe waliopo, lakini wameandaa kitu ambacho kinataka kuwagawa Watanzania....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe Tume ya Warioba alipuka

IMEELEZWA kuwa wanaoshinikiza serikali mbili katika uundwaji wa katiba ni sawa na wanyonyaji wa taifa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjumbe Tume ya Warioba amvalia njuga Lowassa

Mjumbe wa Iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole amesema yupo tayari kufanya kampeni za kumpinga mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa kwa madai kuwa ana doa linalomzuia kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jaji Warioba ni mjumbe auwawi

YALIYOTOKEA kwenye ukumbi wa Ubungo Blue Pearl Hotel sio ndoto, sio mauzauza isipokuwa yale yaliyotabiriwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere sasa yametimia. Kwa maana hiyo Jaji Joseph Warioba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe UVCCM ataka tume huru kashfa Escrow

MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Ruvuma, Khalfan Kigwenembe, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuunda Tume Huru ya kuchunguza tuhuma zilizotolewa na...

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Sikuidhalilisha Tume ya Warioba

 Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa hakuwa na nia ya kuidhalilisha Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati alipohutubia kulifungua Bunge Maalumu la Katiba, wiki mbili zilizopita.

 

11 years ago

Habarileo

Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tume ya Warioba yavunjwa rasmi

HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti Jaji Joseph Warioba. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tume ya Warioba kushiriki mdahalo

 Taasisi ya Mwalimu Nyerere imeandaa mdahalo wa pili wenye lengo la kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba Inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Ibara 28 za Tume ya Warioba zilizoondolewa

>Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa bungeni juzi, imeondoa Ibara 28 zikiwamo zinazowataka viongozi wa umma kutopokea zawadi kwa manufaa yao binafsi wala kufungua akaunti ya benki nje ya nchi pasipo sababu maalumu, Mwananchi limebaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani