Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe UVCCM ataka tume huru kashfa Escrow

MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Ruvuma, Khalfan Kigwenembe, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuunda Tume Huru ya kuchunguza tuhuma zilizotolewa na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Paroko Katoliki ataka tume huru Arusha

>Wakati Serikali ikiwahamishia Hospitali ya Rufani ya Arusha Medical Center, Wanakwaya watatu wa Kanisa Katoliki kati ya sita waliojeruhiwa kwa mabomu ya polisi, wito umetolewa kwa Serikali kuunda tume huru ya kuchunguza aina ya bomu lililotumiwa na polisi.

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe UVCCM afunga tawi la Chadema

MJUMBE wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga, Husna Sekiboko amekisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika kijiji cha Lukozi, wilayani hapa na kufunga kabisa tawi hilo na kuligeuza rasmi kuwa tawi la CCM.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe Tume ya Warioba alipuka

IMEELEZWA kuwa wanaoshinikiza serikali mbili katika uundwaji wa katiba ni sawa na wanyonyaji wa taifa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe aishambulia Tume ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Assumpta Mshama, ameishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema kuwa licha ya usomi wa wajumbe waliopo, lakini wameandaa kitu ambacho kinataka kuwagawa Watanzania....

 

10 years ago

Vijimambo

Kashfa Escrow imeharibu nchi



Dotto MwaibaleKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa ripoti ya mwaka 2015, inayoonesha kuwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyohusisha idara mbalimbali za Serikali imeharibu sifa ya nchi.Imesema Tegeta Escrow imekuwa ni mojawapo ya matukio makubwa ya kashfa za rushwa kupata kutokea nchini, ambapo inahusisha watu kutoka kada mbalimbali za jamii kuanzia Serikali Kuu, Idara ikiwamo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na pia Rita.Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ

Kamati ya bunge ya hesabu za serikali Tanzania imebainisha majina ya wahusika wa kashfa na IPTL ,waziri mkuu nae atajwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswali magumu kashfa ya Escrow

WAKATI kashfa ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow)  ya Benki Kuu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia

CHAMA  cha  mapinduzi (CCM)  wilaya ya  Ludewa  mkoani  Njombe  kimepata  pigo  kubwa kufuatia  kifo  cha  aliyekuwa  mjumbe  wa  Halmashauri  kuu ya wilaya  hiyo (NEC)  Bi  Elizabeth Haule.Mbali ya  kuwa MNEC  wa  wilaya  hiyo  Haule  pia  alikuwa ni mwenyekiti  wa UVCCM wilaya ya  Ludewa  kabla ya  kujiuzulu kwake mwezi  February mwaka jana baada ya  kuchaguliwa nafasi hiyo ya  NEC na  nafasi   hiyo  kuwa  wazi  hadi sasa.

Katibu   mwenezi  wa  CCM  wilaya  ya  Ludewa  Felix Haule  alisema ...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema waibua mapya kashfa ya Escrow

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema, Arcado Ntagazwa.
Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajia kutoa maamuzi ya maazimio yaliyotolewa na Bunge kuhusiana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti Tegeta Escrow, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua mapya kwa kutaja orodha mpya ya viongozi wanaopaswa kuwajibishwa kutokana na kashfa hiyo.

Aidha, Chadema kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdrahaman Kinana, anafahamu jinsi uchotwaji fedha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani