Mjumbe UVCCM afunga tawi la Chadema
MJUMBE wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga, Husna Sekiboko amekisambaratisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika kijiji cha Lukozi, wilayani hapa na kufunga kabisa tawi hilo na kuligeuza rasmi kuwa tawi la CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Mjumbe UVCCM ataka tume huru kashfa Escrow
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Ruvuma, Khalfan Kigwenembe, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuunda Tume Huru ya kuchunguza tuhuma zilizotolewa na...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AFUNGA KAMBI YA UVCCM
10 years ago
MichuziMsiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Mkurugenzi wa Amana bank afunga wiki ya huduma kwa wateja tawi la Mwanza!
Benki ya Amana leo hii imehitimisha wiki ya huduma kwa wateja ambapo katika tawi la Mwanza mkurugenzi wa benki hiyo Dk Muhsin Masoud alitoa zawadi mbali mbali kwa wateja wenye sifa tofauti tofauti kama ioneshavyo pichani.
Mkurugenzi huyo alikutana na wateja mbali mbali tawini hapo ili kubadilishana nao mawazo na pia kupokea maoni toka kwao katika...
9 years ago
MichuziMkurugenzi wa Benki ya Amana afunga wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Mwanza
Mkurugenzi wa Amana Bank Dk Muhsin Masoud akimzawadia Bw Juma Kivuruga kwa kuwa mfanyakazi bora kwa tawi la Mwanza, Kivuruga alipigiwa kura na wafanyakazi wenziye wa tawi hilo.Daud Lweno akizawadiwa na Mkurugenzi wa Amana Bank kama mteja mzuri kulipia miamala ya TRA katika tawi la Mwanza. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
GPLCHOLAGE AFUNGA SEMINA YA UVCCM MABIBO, WAMKABIDHI PICHA ZA NAPE, DK. FENELLA KAMA SALAMU
10 years ago
Michuzimhe sitta afunga mafunzo ya waendesha bodaboda wilayani urambo, azindua tawi la umoja wa vijana wa CCM
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mjumbe CHADEMA aombwa kugombea ubunge
WANANCHI wa Kata ya Kukilango, Mkoa wa Mara wamemtaka Mjumbe wa kamati tendaji ya chama cha Demokrasi na maendeleo (CHADEMA), Yusuph Kazi, kugombea Ubunge katika uchaguzi Mkuu mwaka 2015. Wananchi...