Mjumbe CHADEMA aombwa kugombea ubunge
WANANCHI wa Kata ya Kukilango, Mkoa wa Mara wamemtaka Mjumbe wa kamati tendaji ya chama cha Demokrasi na maendeleo (CHADEMA), Yusuph Kazi, kugombea Ubunge katika uchaguzi Mkuu mwaka 2015. Wananchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LAV7jKmCKM/VaAP-cwDcnI/AAAAAAAASBc/FH2cqmMCKBw/s72-c/E86A3273%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJIN
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LAV7jKmCKM/VaAP-cwDcnI/AAAAAAAASBc/FH2cqmMCKBw/s640/E86A3273%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s72-c/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s640/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hdz-n9BJrPk/VaAPZqL2-ZI/AAAAAAAAR_0/rIDfLnNY-OE/s640/E86A3224%2B%25281280x853%2529.jpg)
11 years ago
GPLMWALIMU AJITOKEZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA KUPITIA CHADEMA
10 years ago
Michuzi05 Jan
ALIYEWAHI KUGOMBEA UBUNGE CHADEMA MKOANI TANGA AHAMIA CCM.
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Frederick Fussi atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya Chadema
Mgombea ubunge jimbo la Songea mjini kwa tiketi ya Chama cha Maendeleo (CHADEMA), Frederick Fussi akisisitiza jambo katika mkutano wake na waandishi habari.
OFISA Mshauri wa masuala ya Uchumi, Biashara na Uongozi Frederick Fussi ambaye pia ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Songea Mjini kupitia Chama hicho huku akielezea vipao mbele ambavyo atavitekeleza endapo akipewa ridha kutoka kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
VijimamboKAMATI KUU CHADEMA YAKUTANA NA WENYE NIA KUGOMBEA UBUNGE 2015, PROF JAY NDANI YA KIKAO
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
Prof.Muhongo aombwa kugombea urais 2015 na umoja wa vyama vya wanafunzi elimu ya juu
Umoja wa Vyama vya wanafunzi elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjaro na Arusha wajitokeza kumshawishi Prof. Sospeter Muhongo kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mwaka 2015.(Picha na Jamiiblog).
Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake Mwenyekiti wa vijana Charles Ngereza kutoka chuo cha Uhasibu Arusha amesema kuwa kinachowafanya kumshawishi Prof Sospeter Muhongo kugombea urais ni kutokana na kuwa kiongozi bora kwa wananchi na mtu anayejali matatizo...
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...