KAMATI KUU CHADEMA YAKUTANA NA WENYE NIA KUGOMBEA UBUNGE 2015, PROF JAY NDANI YA KIKAO
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Freeman Mbowe akiingia katika ukumbi wa mkutano wakati wa Kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kilipokutana na Wanachama waliotia nia ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, Salum Mwalimu.
Salum Mwalim akifafanua jambo wakati wa Kikao hicho.
Viongozi Wakuu wa Chadema wakiomba dua kabla ya kuanza Kikao.
Mwanamuziki wa kizazi kimpya Prof. J akiwa ni miongoni mwa watia nia.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zZxrRQCM9g/VJQ56XdB-zI/AAAAAAAG4dY/9Oa9Bgi8C24/s72-c/unnamedQ1.jpg)
CHADEMA yakutana na waandishi wa habari kuzungumzia maazimio ya kikao maalum cha kamati kuu ya chama hicho
![](http://1.bp.blogspot.com/--zZxrRQCM9g/VJQ56XdB-zI/AAAAAAAG4dY/9Oa9Bgi8C24/s1600/unnamedQ1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--joIAzDDYMo/VJQ56WhucCI/AAAAAAAG4dc/YFiy4rDvxfY/s1600/unnamedQ2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xJ9F2VY-FII/VRlZeOto6YI/AAAAAAADR0Q/QTChM830BGg/s72-c/prof%2B3.jpg)
11 years ago
CloudsFM05 Aug
PROFESA JAY AFUNGUKA KUGOMBEA UBUNGE 2015
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Profesa Jay wa Mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa cha CHADEMA na aliyemkabidhi kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hip Hop Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.
Baada ya hapo hisia za Watanzania zilisafiri mpaka mjini Songea na kutoa jibu kwamba mwaka 2015 msanii huyo atagombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani Ruvuma. Clouds fm imepiga stori na Profesa Jay huyu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s72-c/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s640/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1T2y99qqkA/VkiW1el6J9I/AAAAAAAIF74/byI1HWv9iRU/s640/231f052ece9fe2d443699739ec975e0a.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Frederick Fussi atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya Chadema
Mgombea ubunge jimbo la Songea mjini kwa tiketi ya Chama cha Maendeleo (CHADEMA), Frederick Fussi akisisitiza jambo katika mkutano wake na waandishi habari.
OFISA Mshauri wa masuala ya Uchumi, Biashara na Uongozi Frederick Fussi ambaye pia ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Songea Mjini kupitia Chama hicho huku akielezea vipao mbele ambavyo atavitekeleza endapo akipewa ridha kutoka kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Habarileo15 Oct
Chadema waenzi Nyerere kwa kikao Kamati Kuu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemuenzi Mwalimu Julius Nyerere kwa kufanya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya chama hicho na kuomba wajumbe wake kutambua umuhimu wa siku hiyo.