PROFESA JAY AFUNGUKA KUGOMBEA UBUNGE 2015
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Profesa Jay wa Mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa cha CHADEMA na aliyemkabidhi kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hip Hop Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.
Baada ya hapo hisia za Watanzania zilisafiri mpaka mjini Songea na kutoa jibu kwamba mwaka 2015 msanii huyo atagombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani Ruvuma. Clouds fm imepiga stori na Profesa Jay huyu...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xJ9F2VY-FII/VRlZeOto6YI/AAAAAAADR0Q/QTChM830BGg/s72-c/prof%2B3.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMATI KUU CHADEMA YAKUTANA NA WENYE NIA KUGOMBEA UBUNGE 2015, PROF JAY NDANI YA KIKAO
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Profesa Jay ashinda kiti cha ubunge TZ
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PluvqWnpz7w/VPb5OvSDBzI/AAAAAAAAHjQ/FVw7AnBd-1g/s72-c/Profesa%2BJ.jpg)
Hatimaye Profesa J atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Mikumi
![](http://3.bp.blogspot.com/-PluvqWnpz7w/VPb5OvSDBzI/AAAAAAAAHjQ/FVw7AnBd-1g/s640/Profesa%2BJ.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mrema kugombea ubunge 2015
MBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6xN_cFjb4uY/VTisWD3PdDI/AAAAAAADjow/jqKinJTNTXg/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-6xN_cFjb4uY/VTisWD3PdDI/AAAAAAADjow/jqKinJTNTXg/s1600/Daudi%2BMrindoko.jpg)
"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai
Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi.
Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na Kijana wenu DAUDI BABU MRINDOKO
Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo
la Moshi Mjini...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015
10 years ago
Bongo519 Aug
Tunda Man adai kuwa na mipango ya kugombea ubunge, japo si 2015