Tunda Man adai kuwa na mipango ya kugombea ubunge, japo si 2015
Inaonekana wasanii wengi nchini wanapenda kuingia mjengoni. Baada ya Shilole kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Igunda, Tundaman amesema ana nia ya kuja kugombea ubunge wa Kinondoni. Akizungumza na Bongo5 Tunda Man amesema ni kweli yupo kwenye mipango hiyo ila sio mapema kutokana kwakuwa bado anahitaji kujiendeleza kielimu zaidi. “Iddi ni kama baba yangu siwezi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Oct
Tunda Man adai kuhujumiwa na wasanii wenzake
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mrema kugombea ubunge 2015
MBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.
11 years ago
CloudsFM05 Aug
PROFESA JAY AFUNGUKA KUGOMBEA UBUNGE 2015
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Profesa Jay wa Mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa cha CHADEMA na aliyemkabidhi kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hip Hop Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.
Baada ya hapo hisia za Watanzania zilisafiri mpaka mjini Songea na kutoa jibu kwamba mwaka 2015 msanii huyo atagombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani Ruvuma. Clouds fm imepiga stori na Profesa Jay huyu...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Hii ndio mipango ya Mwanza japo wameshika namba 3 matokeo ya darasa la saba !! (Audio)
Zikiwa zimebaki wiki mbili kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kufungua shule leo December 28 2015 Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameamua kukutana na watendaji wake ambao ni wakuu wa Wilaya za Mwanza, Wakurugenzi wa Halmashauri, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, wilaya na makatibu tawala wa wilaya na wakuu […]
The post Hii ndio mipango ya Mwanza japo wameshika namba 3 matokeo ya darasa la saba !! (Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6xN_cFjb4uY/VTisWD3PdDI/AAAAAAADjow/jqKinJTNTXg/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-6xN_cFjb4uY/VTisWD3PdDI/AAAAAAADjow/jqKinJTNTXg/s1600/Daudi%2BMrindoko.jpg)
"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai
Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi.
Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na Kijana wenu DAUDI BABU MRINDOKO
Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo
la Moshi Mjini...
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s72-c/unnamed.jpg)
WANANCHI WA MOSHI MJINI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziMDAU SHAFI KASSIM MPENDA AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATAVI 2015