Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunda Man adai kuwa na mipango ya kugombea ubunge, japo si 2015

Inaonekana wasanii wengi nchini wanapenda kuingia mjengoni. Baada ya Shilole kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Igunda, Tundaman amesema ana nia ya kuja kugombea ubunge wa Kinondoni. Akizungumza na Bongo5 Tunda Man amesema ni kweli yupo kwenye mipango hiyo ila sio mapema kutokana kwakuwa bado anahitaji kujiendeleza kielimu zaidi. “Iddi ni kama baba yangu siwezi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tunda Man adai kuhujumiwa na wasanii wenzake

Tunda Man amedai kuwa amegundua kuwepo wasanii wanaohujumu wasanii wenzao ili wasifanikiwe. Muimbaji huyo ameiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM kuwa kupitia utafiti alioufanya, amegundua wasanii hawana ushirikiano na wapo tayari kuwafanya wenzake wasifanikiwe. “Sijakurupa kusema hivyo, nimeshafanya research na nikagundua,” alisema. “Mimi kuna siku nilikuwa na show UK, promota akaniambia natafuta namba yako […]

 

11 years ago

Habarileo

Mrema kugombea ubunge 2015

Augustine Lyatonga MremaMBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.

 

11 years ago

CloudsFM

PROFESA JAY AFUNGUKA KUGOMBEA UBUNGE 2015

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Profesa Jay wa Mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa cha CHADEMA na aliyemkabidhi kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hip Hop Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.Baada ya hapo hisia za Watanzania zilisafiri mpaka mjini Songea na kutoa jibu kwamba mwaka 2015 msanii huyo atagombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani Ruvuma. Clouds fm imepiga stori na Profesa Jay huyu...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio mipango ya Mwanza japo wameshika namba 3 matokeo ya darasa la saba !! (Audio)

Zikiwa zimebaki wiki mbili kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kufungua shule leo December 28 2015 Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameamua kukutana na watendaji wake ambao ni wakuu wa Wilaya za Mwanza, Wakurugenzi wa Halmashauri, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, wilaya na makatibu tawala wa wilaya na wakuu […]

The post Hii ndio mipango ya Mwanza japo wameshika namba 3 matokeo ya darasa la saba !! (Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA KUGOMBEA UBUNGE 2015

Yafuatayo ndio maelezo yake haya:

"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai

Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi.

Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na Kijana wenu DAUDI BABU MRINDOKO

Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo
la Moshi Mjini...

 

10 years ago

Bongo5

Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015

Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steve Nyerere ametangaza nia yake ya kugombea ubunge mwaka 2015 katika jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kupitia tiketi ya CCM. Mwenekiti wa bongomovie Steve Nyerere Akizungumza na Bongo5, Steve Nyerere amesema yupo kamili na amejipanga kufanya hivyo ifikapo mwakani. “Ukiuna chereko cherEko ujue mambo yameiva, yeah nitagombea […]

 

10 years ago

Mwananchi

Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015

Mwaka 2015 utafanyika Uchaguzi Mkuu unaotajwa kuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na vyama mbalimbali vya siasa kuonyesha kujipanga kuleta upinzani mkubwa kwa chama tawala.

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA MOSHI MJINI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE 2015

Kijana Daud Mrindoko anayeshawishiwa Moshi mjini agombee ubunge.Mamia ya wakazi wa Moshi mjini wamefunguka na kumshinikiza kwa kumshawishi kijana moja ajulukanae kwa jina la Daudi Mwidadi Mrindoko achukue fomu za kugombe ubunge wa jimbo hilo la Moshi mjini,mamia na kinamama na kina baba,vijana na wazee wa mji wa Moshi wanamtaja kijana Daudi Mrindoko kuwa ndio tochi na dira ya itakayo waonyesha njia ya mafanikio zaidi 2015 alisemamama moja Merry Kimaro kutoka kundi la wafanyibiashara...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU SHAFI KASSIM MPENDA AJITOSA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KATAVI 2015

  Mdau Shafi Mpenda ambaye ni mfanyakazi ya uhasibu katika Shirika la Magazeti ya Serikali la Tanzania Standard Newspapers (TSN) Shafii Kassim Mpenda akichukua fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM wenzake  ya kugombea ubunge katika jimbo la Katavi mwaka huu  mwezi oktoba, 2015
Mdau Shafi Kassim Mpenda  Shafi Kassim  Mpenda akionesha  fomu yake ya  kuomba ridhaa ya wana CCM wenzake  ya kugombea ubunge katika jimbo la Katavi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani