Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
CHAMA cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kimepata pigo kubwa kufuatia kifo cha aliyekuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya wilaya hiyo (NEC) Bi Elizabeth Haule.Mbali ya kuwa MNEC wa wilaya hiyo Haule pia alikuwa ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Ludewa kabla ya kujiuzulu kwake mwezi February mwaka jana baada ya kuchaguliwa nafasi hiyo ya NEC na nafasi hiyo kuwa wazi hadi sasa.
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya afariki dunia
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kigoma, Bakari Menge amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
10 years ago
MichuziTAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia
9 years ago
MichuziMWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa
Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo Mhe DeomFilikunjombea akitoa mkono wa pole kwa wafiwa katikati ni mjane Mama Georgina Mtikila. Waombolezaji wakiwa msibani Mhe Deo Filikunjombe na...
11 years ago
GPL9 years ago
Bongo516 Oct
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe afariki dunia kwa ajali ya helikopta, abiria wote wamepoteza maisha
10 years ago
GPLMSIBA: MTANGAZAJI BEN KIKO AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPLMSIBA! MPIGA PICHA MKONGWE WA TV AFARIKI DUNIA!
11 years ago
GPLMSIBA: MCD WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA!