MSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a enzi za uhai wake . Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na kisukari. Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s640/IMG_3959.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qqc8zVIm7YU/U1bJo3xp-KI/AAAAAAAFcY0/woYraehTvgA/s72-c/unnamed+(47).jpg)
PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MSIBA WA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qqc8zVIm7YU/U1bJo3xp-KI/AAAAAAAFcY0/woYraehTvgA/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J18G72hFIr8/U1bJo02JWcI/AAAAAAAFcYw/75WD5a7FbM4/s1600/unnamed+(49).jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang'a afariki
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-se3eUCrjsbU/VNMTzBJa9KI/AAAAAAAB2-4/c5YGyvtxFpY/s72-c/img_9322.jpg)
Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NufLyIsyT-0/XrQDC8T8gDI/AAAAAAALpZw/lnDIhoccXSkaVuc-G24mW5r3yYxG4TdlgCLcBGAsYHQ/s72-c/e7fdd7b4-35e4-498d-bfad-223c344fae26.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s72-c/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s640/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.
Mkuu huyo wa Wilaya ya...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Pinda aongoza waombolezaji kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pole kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es salaam Aprili 22, 2014. Kushoto ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
aziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pile kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Duhvag7-MY/U1kk6RJjjDI/AAAAAAAAFW8/XPSNJJiNRTY/s72-c/IMG_1226.jpg)
mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Hayati Moshi Mussa Chang'a
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Duhvag7-MY/U1kk6RJjjDI/AAAAAAAAFW8/XPSNJJiNRTY/s1600/IMG_1226.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bemeXA6ACDM/U1kmR0Hqi0I/AAAAAAAAFXI/5SbejmvfXo8/s1600/IMG_1118.jpg)