TAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
MKUU wa Wilaya (DC) mstaafu, Margaret Kipaya (75) (pichani) amefariki dunia kutokana na matatizo ya kisukari baada ya kuugua kwa miezi kadhaa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a enzi za uhai wake . Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na kisukari. Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s72-c/mama+halima.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MAMA MZAZI WA SAID MDOE WA SALUTI5 AFARIKI DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s1600/mama+halima.jpg)
Alipata homa kali Jumapili mchana, akapelekwa hospitali (IMTU) akapata matibabu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Hali yake haikuwa mbaya wala ya kutia mashaka.
Jumatatu akaamka vizuri na akashinda vizuri hadi saa 12 za jioni hali ipoanza kubadilika tena. Akafariki akiwa njiani kupelekwa hospitali. Msiba uko Dar es Salaam, Mbezi Beach Old...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ztt_d07VuYA/VOXAKB5y58I/AAAAAAAHEfs/ynVPyIInzGI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKE WA PROF MLEKWA WA UDSM AFARIKI DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ztt_d07VuYA/VOXAKB5y58I/AAAAAAAHEfs/ynVPyIInzGI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Inasikitika kutangaza kifo cha mama yao Febronia Mshomba Mlekwa kilichotokea tarehe 16/02/2015 Katika Hospitali ya Kairuki, Dar Es Salaam. Mazishi yatafanyika tarehe19/02/2015 Alhamisi, Goba Dar Es Salaam.
Wale wote watakao kuungana penda na wafiwa, wanakaribishwa nyumbani kwa Mrehemu Savery mapema. Wote tunawatakia pole ya msiba.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-se3eUCrjsbU/VNMTzBJa9KI/AAAAAAAB2-4/c5YGyvtxFpY/s72-c/img_9322.jpg)
Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
CHAMA cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kimepata pigo kubwa kufuatia kifo cha aliyekuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya wilaya hiyo (NEC) Bi Elizabeth Haule.Mbali ya kuwa MNEC wa wilaya hiyo Haule pia alikuwa ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Ludewa kabla ya kujiuzulu kwake mwezi February mwaka jana baada ya kuchaguliwa nafasi hiyo ya NEC na nafasi hiyo kuwa wazi hadi sasa.
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s640/IMG_3959.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NufLyIsyT-0/XrQDC8T8gDI/AAAAAAALpZw/lnDIhoccXSkaVuc-G24mW5r3yYxG4TdlgCLcBGAsYHQ/s72-c/e7fdd7b4-35e4-498d-bfad-223c344fae26.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s72-c/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s640/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.
Mkuu huyo wa Wilaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_JB8W9Xqo5w/VHQuvs2fG4I/AAAAAAAGzTM/Lqzifx135bo/s72-c/New%2BPicture.png)
Taarifa ya msiba wa Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-_JB8W9Xqo5w/VHQuvs2fG4I/AAAAAAAGzTM/Lqzifx135bo/s1600/New%2BPicture.png)
Mheshimiwa Jaji Lillian Mashaka anasikitika kutangaza kifo cha Mume wake Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka kilichotokea siku ya Jumapili tarehe 23/11/2014. Msiba upo nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam(nyumba za serikali).
Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 26/11/2014.Ratiba itaanzia nyumbani saa 4 asubuhi na hatimaye misa takatifu katika kanisa la Mt. Martha Mikocheni, Saa 7 mchana.
Mazishi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JX0IOHV7zlE/Xqfaq7bIRPI/AAAAAAAC4Fk/vzhqEMKrU28Cn8jHm4BIRUGwdrH1D_Q1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AFARIKI DUNIA JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JX0IOHV7zlE/Xqfaq7bIRPI/AAAAAAAC4Fk/vzhqEMKrU28Cn8jHm4BIRUGwdrH1D_Q1ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhani amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Familia yake imesema hali ya Jaji Ramadhani ilibadilika jana usiku na kukimbizwa hospitalini hapo ambapo mauti ilimkuta leo asubuhi. Jaji Augustino Ramadhani pia alikuwa Brigedia Jenerali kabla ya kuitwa katika sekta ya Sheria na kutumikia Mahakama.
Alipostaafu ujaji, alipewa kazi ya ukasisi, akatawazwa rasmi kuwa Mchungaji wa Dayosisi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania