TAARIFA YA MSIBA: MAMA MZAZI WA SAID MDOE WA SALUTI5 AFARIKI DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s72-c/mama+halima.jpg)
MAMA mzazi wa mmiliki wa mtandao wa Saluti5, Said Mode - Bi Desta Mohamed - amefariki ghafla Jumatatu ya tarehe 31/3/2014 saa 1 za jioni.
Alipata homa kali Jumapili mchana, akapelekwa hospitali (IMTU) akapata matibabu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Hali yake haikuwa mbaya wala ya kutia mashaka.
Jumatatu akaamka vizuri na akashinda vizuri hadi saa 12 za jioni hali ipoanza kubadilika tena. Akafariki akiwa njiani kupelekwa hospitali. Msiba uko Dar es Salaam, Mbezi Beach Old...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jun
Mama mzazi wa Zitto afariki dunia
MAMA mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, Shida Salum, amefariki dunia baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya saratani.
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mama mzazi wa Mh. Zitto Kabwe afariki dunia
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, asubui hii amefiwa na mama yake mzazi Bi Shida Salum, aliyeugua kwa muda mrefu.
Pichani ni Mama mzazi wa Zitto Kabwe enzi za uhai wake.
Taarifa ya msiba huu imethibitishwa na yeye mwenye Zitto Kabwe kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kama inavyosomeka hapo chini.
MO BLOG tunatoa pole kwa Zitto Kabwe, familia na wote walioguswa na msiba huu Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PhotoGrid_1416578914975.jpg)
TANZIA: MAMA MZAZI WA DOGO ASLAY AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama mzazi wa mwanalibeneke Kazikupenda "KK" Chale afariki dunia leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s1600/unnamed+(31).jpg)
jina la Bwana Lihimidiwe - Amen
KK anaendesha blog ya Tembea Tanzania BOFYA HAPA
11 years ago
GPLMAZISHI YA MAMA YAKE MZAZI SAIDI MDOE, BI DESTA MOHAMMED YALIVYOFANYIKA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s72-c/zitto.jpg)
News alert: Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s1600/zitto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-08ecGhtr6sc/U4rstY3LYFI/AAAAAAAFm48/WJEeSqMC9aY/s1600/1401611667127.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ztt_d07VuYA/VOXAKB5y58I/AAAAAAAHEfs/ynVPyIInzGI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKE WA PROF MLEKWA WA UDSM AFARIKI DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ztt_d07VuYA/VOXAKB5y58I/AAAAAAAHEfs/ynVPyIInzGI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Inasikitika kutangaza kifo cha mama yao Febronia Mshomba Mlekwa kilichotokea tarehe 16/02/2015 Katika Hospitali ya Kairuki, Dar Es Salaam. Mazishi yatafanyika tarehe19/02/2015 Alhamisi, Goba Dar Es Salaam.
Wale wote watakao kuungana penda na wafiwa, wanakaribishwa nyumbani kwa Mrehemu Savery mapema. Wote tunawatakia pole ya msiba.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s72-c/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
TANZIA: Mama mzazi wa katibu wa mbunge Al Shaimar Kweigyir afariki dunia leo Kibaha, Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s1600/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)