MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, Bi. Shida wakati alipokuwa amelazwa ICU katika Hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam hivi karibuni. MAMA mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, Bi. Shida amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya AMI jijini Dar es… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mama mzazi wa Mh. Zitto Kabwe afariki dunia
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, asubui hii amefiwa na mama yake mzazi Bi Shida Salum, aliyeugua kwa muda mrefu.
Pichani ni Mama mzazi wa Zitto Kabwe enzi za uhai wake.
Taarifa ya msiba huu imethibitishwa na yeye mwenye Zitto Kabwe kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kama inavyosomeka hapo chini.
MO BLOG tunatoa pole kwa Zitto Kabwe, familia na wote walioguswa na msiba huu Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s72-c/zitto.jpg)
News alert: Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s1600/zitto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-08ecGhtr6sc/U4rstY3LYFI/AAAAAAAFm48/WJEeSqMC9aY/s1600/1401611667127.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Jun
Mama mzazi wa Zitto afariki dunia
MAMA mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, Shida Salum, amefariki dunia baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya saratani.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s72-c/unnamed+(16).jpg)
JK amjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mama Zitto Kabwe afariki
BUNGE Maalum la Katiba limepata pigo baada ya kuondokewa na mjumbe wake, Shida Salum (64), ambaye ameugua kwa muda mrefu. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma...
11 years ago
CloudsFM29 May
MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE ALAZWA ICU DAR AKISUMBULIWA NA MARADHI YA SARATANI
Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania, (Chawata), Shida Salum, ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zito Kabwe yuko katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam akisumbuliwa na maradhi ya saratani.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PhotoGrid_1416578914975.jpg)
TANZIA: MAMA MZAZI WA DOGO ASLAY AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s72-c/mama+halima.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MAMA MZAZI WA SAID MDOE WA SALUTI5 AFARIKI DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s1600/mama+halima.jpg)
Alipata homa kali Jumapili mchana, akapelekwa hospitali (IMTU) akapata matibabu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Hali yake haikuwa mbaya wala ya kutia mashaka.
Jumatatu akaamka vizuri na akashinda vizuri hadi saa 12 za jioni hali ipoanza kubadilika tena. Akafariki akiwa njiani kupelekwa hospitali. Msiba uko Dar es Salaam, Mbezi Beach Old...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama mzazi wa mwanalibeneke Kazikupenda "KK" Chale afariki dunia leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s1600/unnamed+(31).jpg)
jina la Bwana Lihimidiwe - Amen
KK anaendesha blog ya Tembea Tanzania BOFYA HAPA