Mama Zitto Kabwe afariki
BUNGE Maalum la Katiba limepata pigo baada ya kuondokewa na mjumbe wake, Shida Salum (64), ambaye ameugua kwa muda mrefu. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mama mzazi wa Mh. Zitto Kabwe afariki dunia
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, asubui hii amefiwa na mama yake mzazi Bi Shida Salum, aliyeugua kwa muda mrefu.
Pichani ni Mama mzazi wa Zitto Kabwe enzi za uhai wake.
Taarifa ya msiba huu imethibitishwa na yeye mwenye Zitto Kabwe kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kama inavyosomeka hapo chini.
MO BLOG tunatoa pole kwa Zitto Kabwe, familia na wote walioguswa na msiba huu Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s72-c/zitto.jpg)
News alert: Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s1600/zitto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-08ecGhtr6sc/U4rstY3LYFI/AAAAAAAFm48/WJEeSqMC9aY/s1600/1401611667127.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s72-c/unnamed+(16).jpg)
JK amjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
CloudsFM29 May
MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE ALAZWA ICU DAR AKISUMBULIWA NA MARADHI YA SARATANI
Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania, (Chawata), Shida Salum, ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zito Kabwe yuko katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam akisumbuliwa na maradhi ya saratani.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mRFg4LljtRw/U4tF_lkiP1I/AAAAAAAAOqc/OGjKKokb-qk/s72-c/MAMA1.jpg)
Mwili wa Mama Yake Zitto Kabwe Wasafirishwa Kwenda Kigoma kwa mazishi
![](http://2.bp.blogspot.com/-mRFg4LljtRw/U4tF_lkiP1I/AAAAAAAAOqc/OGjKKokb-qk/s1600/MAMA1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JyRfvncutDk/U4tGDZsYcOI/AAAAAAAAOq0/5doZhtC0aPk/s1600/mama4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zu2JNvyqDWU/U4tGAEydsNI/AAAAAAAAOqk/yVj5CyPa5ts/s1600/MAMA2.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Jun
Mama mzazi wa Zitto afariki dunia
MAMA mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, Shida Salum, amefariki dunia baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya saratani.
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mwili wa Mama yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma
Zitto Kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Ndege ikiandaliwa ili kuweza kuingiza mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi.
Prof. Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na...
10 years ago
IPPmedia12 Mar
I'm still MP, declares Zitto Kabwe
IPPmedia
IPPmedia
Kigoma North MP Zitto Kabwe, who was as of yesterday stripped of party membership by Chadema's Central Committee (CCC) told reporters in Dar es Salaam yesterday that he is also still chairperson of the Public Accounts Committee (PAC). “As you can see ...
Bunge Speaker to determine Zitto's fateDaily News
Zitto Loses Court Battle, Axed From ChademaAllAfrica.com
all 9