TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo enzi za uhai wake Mhe. Moshi Mussa Chang'a ambae amefariki dunia jioni ya leo katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na Kisukari. Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.(Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang'a afariki
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA- MKUU WA MAGEREZA MKOA WA SHINYANGA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s640/unnamed.jpg)
Marehemu SACP Aneth Laurent enzi za uhai wake
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza - SACP Aneth Laurent kilichotokea jana Julai 30, 2015 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza.Kamishna Jenerali wa Magereza anatoa pole kwa Watumishi wote wa Jeshi la Magereza nchini, familia na wale wote...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANZIA: ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu (mstaafu) Dkt. Mohamed Mhita kilichotokea siku ya Jumatatu tarehe 06 Aprili 2015 katika hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mhita alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa iliyokuwa Idara Kuu ya Hali ya Hewa kwa kipindi cha miaka 8 kuanzia 1992 hadi 1999 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kipindi cha miaka 9 kuanzia 1999...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NufLyIsyT-0/XrQDC8T8gDI/AAAAAAALpZw/lnDIhoccXSkaVuc-G24mW5r3yYxG4TdlgCLcBGAsYHQ/s72-c/e7fdd7b4-35e4-498d-bfad-223c344fae26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s72-c/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NfpAOI_Yquc/Ve532akFIHI/AAAAAAAB8WI/oRjP7MueGU8/s640/11949458_1521671391457684_6381338667055860994_n.jpg)
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.
Mkuu huyo wa Wilaya ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EccNZVgBBFA/Xqf0LRQZFRI/AAAAAAAC4Gs/ltneWgFeSfsurKMh2os4RsjMEi2VOmpKgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZIA: MDOGO LOWASSA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EccNZVgBBFA/Xqf0LRQZFRI/AAAAAAAC4Gs/ltneWgFeSfsurKMh2os4RsjMEi2VOmpKgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mdogo wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa anayefahamika kwa kwa jina la Bernard Lowassa, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es salaam.
Mtoto wa Waziri Mkuu huyo Mstaafu Fred Lowassa amethibitisha hayo
"Ni kweli ndugu yetu Bernard lowassa amefariki yeye ni Baba yangu mdogo, na alikuwa amelazwa Aga Khan na hapa familia tunaenda hospitalini kwa ajili ya kukutana."- Amesema
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pYo728rS*VFWk2IGboNo2HD8b*BmSa8XNJVJf9rvXU*FIoIf4rbb*3a3Zva4oFlfXQh0UwMYDFCiNQYIM3PFsbQ*Yz0nlT0O/mtikil.png)
TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA