MSIBA! MPIGA PICHA MKONGWE WA TV AFARIKI DUNIA!
![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0oA2-k-5x*29un6EHy128i5HBiVBGhTJqBFs8NbbzZrPaJxjkjzM4MGNgEolqppVoxbl7MRe7IYNS5lPCibfpyI/maxi.jpg)
Maximilian Ngube 'Max', enzi za uhai wake. Max (kushoto), akiwa katika moja ya kazi zake enzi za uhai wake. Kulia ni mwanahabari mwenzake. Mpiga picha mkongwe wa Televisheni, Maximilian Ngube 'Max' amefariki dunia leo, Ijumaa Mei 23, 2014, jijijini Dar es salaam. Habari zilizothibitishwa na ndugu wa karibu wa marehemu zimesema kuwa msiba uko nyumbani kwa marehemu Boko, jijini Dar na mipango ya mazishi inafanyika ambapo tarehe...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Msanii mkongwe Cuba Gooding Sr afariki dunia
Mwanamuziki na muigizaji kutoka Marekani, Cuba Gooding Sr amefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 72.
Mzee huyo ambaye ni baba wa muigizaji Cuba Gooding Jr amedaiwa kukutwa amefariki na kikosi cha moto akiwa katika gari lake lililokuwa limepaki pembezoni mwa barabara huko Woodland Hills, California.
Kwa mujibu wa taarifa za polisi, chanzo cha kifo hicho kimetokana na marehemu kuzidisha dawa ambapo kasha la dawa hizo lilikutwa kwenye gari lake likiwa tupu.
Picha ya gari la Cuba Gooding...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589168086774.jpg)
MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s400/FB_IMG_1589168086774.jpg)
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki
Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.
Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.
Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...
11 years ago
Michuzi17 Apr
MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI DUNIA
![10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n.jpg)
Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.
Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na...
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AFARIKI DUNIA
Taarifa za awali ambazo chumba cha habari cha Globu ya Jamii imezipata kutoka kwa vyanzo vya kuaminika,zinaeleza kuwa Marehemu Amigolas alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Moyo mpaka kufariki kwake.
Tutaendelea kupeana taarifa zaidi kuhusiana na msiba huu kwa...
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZ: MWANAMUZIKI MKONGWE SHEM KARENGA AFARIKI DUNIA
Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini ,Shem Ibrahim Kalenga amefariki Dunia mapema leo katika hospitali ya Amana,Ilala Jijini Dar.Habari zilizotufikia zinaeleza kuwa mkongwe huyo amefariki hospitali ya Amana na kuwa msiba utakuwa nyumbani kwake Buguruni.Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho makaburi ya kisutu baada ya sala ya Alasiri
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI -AMINA
======= ====== ======= ========
SHEM IBRAHIM KARENGA ni mmoja...
5 years ago
CCM BlogMWANASHERIA NA MWANASIASA MKONGWE DKT. MASUMBUKO LAMWAI AFARIKI DUNIA
10 years ago
CloudsFM31 Oct
MTANGAZAJI MKONGWE WA TBC, BEN KIKO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR
ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s72-c/SI_20151204_091154.jpg)
Mwandishi Mkongwe wa Habari za Michezo nchini Willie Chiwango afariki dunia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s640/SI_20151204_091154.jpg)
Taarifa kutoka mtoto wa marehemu, Stephen Chiwango (61), zinasema mauti ya limfika baba yao jana saa 5:30 usiku katika hospitali ya Masana iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alikokua amelazwa kwa matibabu na alikua akisumbuliwa na matatizo ya kichwa.Alisema kuwa mauti yalimkuta katika hospitalini hapo akifanyiwa vipimo zaidi ili kujua tatizo la mwandishi huyo ambaye chombo chake cha mwisho kukifanyia kazi ni Tanzania Standard Newspapers (TSN) akiwa ni Mhariri...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
SAD News: Muigizaji Mkongwe Nchini Mzee Small Afariki Dunia.
Mwigizaji maarurfu nchini Said Ngamba "Mzee Small" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kupatwa na pressure na kukimbizwa hospitali ya taifa Muhimbili. Muigizaji huyo mkongwe kabla ya kifo chake aliugua kwa muda mrefu pia. Mzee Small ni mmoja wa wasanii wa mwazo katika sanaa ya maigizo nchini kwenye enzi zake akiwa ametamba na wasanii wenzake wakongwe kama vile Bi.Chau na King Majuto, ni mmoja wa wasanii ambao mchango wake katika sanaa ya maigizo na tasnia ya filamu nchini hauwezi...