Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI DUNIA

10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.
Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.
Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mpiga gitaa Skylight Band Chiri Challa afariki ghafla

10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n

Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.

Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.

Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo  Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na...

 

11 years ago

GPL

MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI GHAFLA‏

Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa (pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili. Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo. Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo, Aneth Kushaba AK47 ugonjwa wa...

 

11 years ago

GPL

MPIGA GITAA MAARUFU WA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AZIKWA JIJINI DAR

Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Mpiga Gitaa maarufu wa Skylight Band marehemu Chiri Challa azikwa Jijini Dar

 Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band

William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.

Baadhi ya waombolezaji wakibadilishana mawazo Katikati ni Mwanamuziki wa Skylight band Joniko Flower.

Waombolezaji wakiendelea kubadilishana mawazo wakati wakisubili mwili wa marehemu Kufika,Mwenye Baibui nyeusi ni mke wa Chicago Matelephone na wanamuziki wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiri Challa wa Skylight Band azikwa

MPIGA gitaa wa bendi ya Skylight, aliyefariki juzi katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, Chiri Challa, amezikwa katika makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa, Kinondoni jana. Akizungumza naTanzania Daima...

 

11 years ago

GPL

MSIBA! MPIGA PICHA MKONGWE WA TV AFARIKI DUNIA!

Maximilian Ngube 'Max', enzi za uhai wake. Max (kushoto), akiwa katika moja ya kazi zake enzi za uhai wake. Kulia ni mwanahabari mwenzake. Mpiga picha mkongwe wa Televisheni, Maximilian Ngube 'Max' amefariki dunia leo, Ijumaa Mei 23, 2014, jijijini Dar es salaam. Habari zilizothibitishwa na ndugu wa karibu wa marehemu zimesema kuwa msiba uko nyumbani kwa marehemu Boko, jijini Dar na mipango ya mazishi inafanyika ambapo tarehe...

 

5 years ago

CCM Blog

MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA

Dar es Salaam
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki 

Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.

Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.

Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MAO KASABILE ‘REMI’: Mpiga gitaa Twanga aliyekimbilia kanisani kujifunza ala za muziki

WENGI wanamtambua kwa jina la utani la Remi, ambalo amekuwa akilitumia mara kwa mara, hapa namzungumzia Mao Kasabile ‘Remi’ ni mpiga gitaa la besi katika bendi ya Twanga Pepeta mwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani