MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI DUNIA
Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.
Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.
Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Mpiga gitaa Skylight Band Chiri Challa afariki ghafla
Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.
Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.
Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n.jpg)
MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI GHAFLA
11 years ago
GPLMPIGA GITAA MAARUFU WA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AZIKWA JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog20 Apr
Mpiga Gitaa maarufu wa Skylight Band marehemu Chiri Challa azikwa Jijini Dar
Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band
William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.
Baadhi ya waombolezaji wakibadilishana mawazo Katikati ni Mwanamuziki wa Skylight band Joniko Flower.
Waombolezaji wakiendelea kubadilishana mawazo wakati wakisubili mwili wa marehemu Kufika,Mwenye Baibui nyeusi ni mke wa Chicago Matelephone na wanamuziki wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Chiri Challa wa Skylight Band azikwa
MPIGA gitaa wa bendi ya Skylight, aliyefariki juzi katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, Chiri Challa, amezikwa katika makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa, Kinondoni jana. Akizungumza naTanzania Daima...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0oA2-k-5x*29un6EHy128i5HBiVBGhTJqBFs8NbbzZrPaJxjkjzM4MGNgEolqppVoxbl7MRe7IYNS5lPCibfpyI/maxi.jpg)
MSIBA! MPIGA PICHA MKONGWE WA TV AFARIKI DUNIA!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589168086774.jpg)
MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s400/FB_IMG_1589168086774.jpg)
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki
Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.
Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.
Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
MAO KASABILE ‘REMI’: Mpiga gitaa Twanga aliyekimbilia kanisani kujifunza ala za muziki
WENGI wanamtambua kwa jina la utani la Remi, ambalo amekuwa akilitumia mara kwa mara, hapa namzungumzia Mao Kasabile ‘Remi’ ni mpiga gitaa la besi katika bendi ya Twanga Pepeta mwenye...