BREAKING NEWZZ: MWANAMUZIKI MKONGWE SHEM KARENGA AFARIKI DUNIA
Marehemu Shem Ibrahim Karenga enzi za uhai wake.
Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini ,Shem Ibrahim Kalenga amefariki Dunia mapema leo katika hospitali ya Amana,Ilala Jijini Dar.Habari zilizotufikia zinaeleza kuwa mkongwe huyo amefariki hospitali ya Amana na kuwa msiba utakuwa nyumbani kwake Buguruni.Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho makaburi ya kisutu baada ya sala ya Alasiri
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI -AMINA
======= ====== ======= ========
SHEM IBRAHIM KARENGA ni mmoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCuAcAt355vKgXV5yV1cqd7C576Q8CTsoNYzScmbJZ-wdudUbE7SXos-jA38IMC8xVdPxIFJiZLDsbADDTS4SgMQ/breakingnews.gif)
MWANAMUZIKI MKONGWE, SHEM IBRAHIM KARENGA HATUNAYE TENA
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANAMUZIKI SHEM KARENGA
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AFARIKI DUNIA
Taarifa za awali ambazo chumba cha habari cha Globu ya Jamii imezipata kutoka kwa vyanzo vya kuaminika,zinaeleza kuwa Marehemu Amigolas alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Moyo mpaka kufariki kwake.
Tutaendelea kupeana taarifa zaidi kuhusiana na msiba huu kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CkNW_6E2z-w/VI70EhgfHNI/AAAAAAAG3XA/r-pr0wDlHEA/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MWANAMUZIKI MKONGWE SHEM KALENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-CkNW_6E2z-w/VI70EhgfHNI/AAAAAAAG3XA/r-pr0wDlHEA/s1600/New%2BPicture.png)
National Arts Council BASATA
![](file:///C:/Users/Michuzi/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image003.gif)
Yah: Salaam za RambirambiBaraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Shem Ibrahim Kalenga
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Shem Ibrahim Kalenga ambaye mchango wake katika muziki wa Dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mwanamuziki mkongwe Tanzania Muhidin Maalim Gurumo amefariki dunia
Mwimbaji Mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma Muhidin Maalim Gurumo (pichani) amefariki Dunia leo jijini Dar katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Hivi karibuni Marehemu Muhidini Gurumo alitangaza kustaafu muziki baada ya afya ya kutetereka na kuamua kupumzika hadi mauti yalipomfika.
MOblog inaunga na familia ya marehemu, watanzania wote pamoja na mashabiki wake kuomboleza kifo chake.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema Peponi Amen.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBt--N07C*VdFIIeZWVBelfjQmR9mc5JaLd4cvqTW8LhAc-knC*JSGMOtC-sNF75jXbpLtmcyP9SJcmyKE4uFwDM/1mazishiyakarenga2.jpg?width=650)
SHEM KARENGA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
GPLSHEM KARENGA KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
5 years ago
Bongo514 Feb
Msanii mkongwe Cuba Gooding Sr afariki dunia
Mwanamuziki na muigizaji kutoka Marekani, Cuba Gooding Sr amefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 72.
Mzee huyo ambaye ni baba wa muigizaji Cuba Gooding Jr amedaiwa kukutwa amefariki na kikosi cha moto akiwa katika gari lake lililokuwa limepaki pembezoni mwa barabara huko Woodland Hills, California.
Kwa mujibu wa taarifa za polisi, chanzo cha kifo hicho kimetokana na marehemu kuzidisha dawa ambapo kasha la dawa hizo lilikutwa kwenye gari lake likiwa tupu.
Picha ya gari la Cuba Gooding...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0oA2-k-5x*29un6EHy128i5HBiVBGhTJqBFs8NbbzZrPaJxjkjzM4MGNgEolqppVoxbl7MRe7IYNS5lPCibfpyI/maxi.jpg)
MSIBA! MPIGA PICHA MKONGWE WA TV AFARIKI DUNIA!