SHEM KARENGA KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
Marehemu Shem Karenga enzi za uhai wake. MWILI wa mwanamuziki nguli aliyekuwa na umahiri wa kuimba na kucharaza gitaa la Solo, Shem Ibrahim Karenga utazikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam saa 10 alasiri. Mwili wa marehemu utapelekwa katika msikiti wa Manyema, Kariakoo saa 8 mchana kwa ajili ya kuswaliwa! Shem Karenga alifariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya Amana  jijini Dar es Salaam...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBt--N07C*VdFIIeZWVBelfjQmR9mc5JaLd4cvqTW8LhAc-knC*JSGMOtC-sNF75jXbpLtmcyP9SJcmyKE4uFwDM/1mazishiyakarenga2.jpg?width=650)
SHEM KARENGA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
Michuzi17 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EC1UAEr-dIM/VJBKwgfYivI/AAAAAAAG3ks/Ze23myJM5jY/s72-c/DSC_0807.jpg)
Marehemu Shem Ibrahim Kalenga azikwa leo kwenye Makaburi ya Kisutu,jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-EC1UAEr-dIM/VJBKwgfYivI/AAAAAAAG3ks/Ze23myJM5jY/s1600/DSC_0807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4en3c49ZkE/VJBKw7Nl4bI/AAAAAAAG3ko/3qX7ztnCsvw/s1600/DSC_0831.jpg)
Picha zaidi bofya hapa
10 years ago
CloudsFM10 Nov
AMIGOLAS KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
Amigolas amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa. Mwimbaji huyu ambaye hadi anafariki, alikuwa mtumishi wa bendi ya Ruvu Stars inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Amigo alilazwa Muhimbili...
10 years ago
GPLAMIGOLAS KUZIKWA KESHO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
GPLAMIGOLAS AZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MS26RpOm5rSCG*7NiH3RjVXzWsGAinE--MknRgcQhkMQ8r9tONe5Fl8-fguB7BQ903wDzN9rRCwXl5x6i08XUW/mzeesykes.jpg?width=650)
MAZISHI YA MZEE EBBY SYKES KUFANYIKA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
Michuzi15 Dec
UPDATES: MSIBA WA MAREHEMU SHEM KARENGA WAHAMISHIWA MTAA WA UFIPA, KINONDONI, DAR ES SALAAM
MIPANGO YA MAZISHI INABAKI PALEPALE YAANI KESHO MAREHEMU ATASWALIWA KATIKA MSIKITI WA MANYEMA, KARIAKOO, BAADA YA SWALA YA ALASIRI NA KISHA KUELEKEA MAKABURI YA KISUTU KWA MAZISHI>
10 years ago
MichuziJAJI ANTONY BAHATI KUZIKWA LEO MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA