UPDATES: MSIBA WA MAREHEMU SHEM KARENGA WAHAMISHIWA MTAA WA UFIPA, KINONDONI, DAR ES SALAAM
TAARIFA ZILIZOTUFIKIA SASA HIVI ZINASEMA KWAMBA FAMILIA YA MAREHEMU SHEM KARENGA IMEHAMISHIA MSIBA HUO KINONDONI, MTAA WA UFIPA (JIRANI NA OFISI ZA CHADEMA).
MIPANGO YA MAZISHI INABAKI PALEPALE YAANI KESHO MAREHEMU ATASWALIWA KATIKA MSIKITI WA MANYEMA, KARIAKOO, BAADA YA SWALA YA ALASIRI NA KISHA KUELEKEA MAKABURI YA KISUTU KWA MAZISHI>
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Dec
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
UPDATES ya msiba wa Ndg Sebastina Mgimba: Mwili wa marehemu wawasili nchini leo, maziko kufanyika kesho katika makaburi ya Kinondoni
![IMG_7879](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_7879.jpg)
10 years ago
VijimamboUPDATES YA MSIBA WA NDG SEBASTINA MGIMBA : MWILI WA MAREHEMU SEBASTIAN MGIMBA WAWASILI NCHINI JANA, MAZIKO KUFANYIKA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBt--N07C*VdFIIeZWVBelfjQmR9mc5JaLd4cvqTW8LhAc-knC*JSGMOtC-sNF75jXbpLtmcyP9SJcmyKE4uFwDM/1mazishiyakarenga2.jpg?width=650)
SHEM KARENGA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
GPLSHEM KARENGA KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SvKI_8oz9dY/VK7_6kEykrI/AAAAAAAG8Hw/RBaqxu0QCFk/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bngF30W75Zw/VdaK6RmZHSI/AAAAAAAD3pY/EX8blGdiytg/s72-c/Marehemu%2BBi.Khadija%2BIsmail%2BKube%2Benzi%2Bya%2Buhai%2Bwake.jpg)
MSIBA WA NDUGU YETU MAREHEM BI.KHADIJA ISMAIL KUBE MTAA WA AGREY ,KARIAKOO, DAR-ES-SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-bngF30W75Zw/VdaK6RmZHSI/AAAAAAAD3pY/EX8blGdiytg/s640/Marehemu%2BBi.Khadija%2BIsmail%2BKube%2Benzi%2Bya%2Buhai%2Bwake.jpg)
Innalilahi Wainna Iilahi Rajiunn
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika leo mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo, jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan siku ya leo Desemba 30.
Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii, kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9Qe7BqKa1r8/VoJ_-ynHLbI/AAAAAAAIPMk/Q83rcFvfP30/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika kesho mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Qe7BqKa1r8/VoJ_-ynHLbI/AAAAAAAIPMk/Q83rcFvfP30/s320/unnamed%2B%25287%2529.jpg)