BASATA YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MWANAMUZIKI MKONGWE SHEM KALENGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-CkNW_6E2z-w/VI70EhgfHNI/AAAAAAAG3XA/r-pr0wDlHEA/s72-c/New%2BPicture.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CkNW_6E2z-w/VI70EhgfHNI/AAAAAAAG3XA/r-pr0wDlHEA/s1600/New%2BPicture.png)
National Arts Council BASATA
![](file:///C:/Users/Michuzi/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image003.gif)
Yah: Salaam za RambirambiBaraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Shem Ibrahim Kalenga
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Shem Ibrahim Kalenga ambaye mchango wake katika muziki wa Dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-idD5LOTE128/VTCuQ0-mESI/AAAAAAAHRng/TOd5rUoIyFQ/s72-c/ChigweleCheMundugwao.jpg)
BASATA YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MSANII CHIJWELE CHE MUNDUGWAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-idD5LOTE128/VTCuQ0-mESI/AAAAAAAHRng/TOd5rUoIyFQ/s1600/ChigweleCheMundugwao.jpg)
Che mundugwao ni msanii wa muziki wa asili na mdau wa muda mrefu wa sekta ya Sanaa nchini. Amekuwa na mchango mkubwa katika kukuza muziki wa asili nchini na baadaye kupitia Chama cha Muziki wa asili (TAFOMA)...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gdZMzPt6rsI/VPQh1kt1YKI/AAAAAAAHG8A/Jz8nz-Izx20/s72-c/download.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MHESHIMIWA CAPTAIN JOHN DAMIANO KOMBA (MB) TOKA BASATA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gdZMzPt6rsI/VPQh1kt1YKI/AAAAAAAHG8A/Jz8nz-Izx20/s1600/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ar_AinX9-Vg/VOHZSRlDNEI/AAAAAAAHD-s/DCHldFacDb4/s72-c/Untitled.png)
BASATA YATOA RAMBIRAMBI KWA KIFO CHA MKE WA MWANAMUZIKI JOHN KITIME NA BABA YAKE MSANII DULLY SYKES
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ar_AinX9-Vg/VOHZSRlDNEI/AAAAAAAHD-s/DCHldFacDb4/s1600/Untitled.png)
Aidha, BASATA linatoa salamu rambirambi kwa kifo cha Baba Mzazi wa Msanii Dully Sykes, Mzee Abby Sykes kilichotokea jana Jumapili ya Tarehe 15/02/2015.
Pamoja na vifo hivi kuacha majonzi na huzuni kwa wanafamilia, ni pigo pia kwenye tasnia...
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
BASATA yaomboleza kifo cha msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Shem Ibrahim Kalenga
Marehemu Shem Ibrahim Kalenga enzi za uhai wake.
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Shem Ibrahim Kalenga
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Shem Ibrahim Kalenga ambaye mchango wake katika muziki wa Dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ey4jUD2-R_M/VWXekdmNRCI/AAAAAAAHaLA/p_0OHG0v8Io/s72-c/New%2BPicture.png)
JK ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA ZA MZEE RUANGISA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://4.bp.blogspot.com/-ey4jUD2-R_M/VWXekdmNRCI/AAAAAAAHaLA/p_0OHG0v8Io/s1600/New%2BPicture.png)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa ya kifo cha...
10 years ago
GPLSALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MSANII CHIGWELE CHE MUNDUGWAO
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Salamu za rambirambi kutoka TGNP kufuatia kifo cha Edson Kamukara
Marehemu Edson Kamukara enzi za uhai wake.
Salamu Za Rambirambi Kutoka TGNP- Kifo Cha Kamukara
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-briaFfofQfU/VfSnRDWeLOI/AAAAAAAAVM8/x8p1lIQrHg4/s72-c/FB_IMG_1441873402402.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KAMANDA MOHAMED MTOI KANYAWANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-briaFfofQfU/VfSnRDWeLOI/AAAAAAAAVM8/x8p1lIQrHg4/s1600/FB_IMG_1441873402402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wYDHNQtVwm4/VfSnRCl_QeI/AAAAAAAAVM4/AJhcJZgtWdo/s1600/IMG-20150912-WA0193.jpg)
NACHUKUA fursa hii kwa masikitiko makubwa sana kutoa Salamu za Rambirambi kwa Familia na Uongozi wa Juu wa Chadema Makao makuu kwa msiba wa Kamanda mwenzetu, Mpiganaji wa kweli, Kijana mwenzetu Ndugu Mohamed Mtoi Kanyawana aliyefariki kwa ajali ya Gari iliyotokea huko Tanga. Kwa kweli bado tulikuwa tunamhitaji sana kamanda...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...