MWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa
Wananchi wakimsikiliza Mhe. Deo Filikunjombe wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo
Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo Mhe DeomFilikunjombea akitoa mkono wa pole kwa wafiwa katikati ni mjane Mama Georgina Mtikila.
Waombolezaji wakiwa msibani
Mhe Deo Filikunjombe na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Jun
NANI NI NANI URAIS: Mchungaji Christopher Mtikila: Mwenyekiti DP
9 years ago
VijimamboBARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA KIFO CHA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mtikila azikwa Ludewa
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Pengine Mchungaji Christopher Mtikila aliwahi mno kuzaliwa Tanzania!
NIKIWA kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Pugu kati ya mwaka 1992 na1994, nilikuwa
Kitila Mkumbo
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
Breaking News: Mchungaji Christopher Mtikila afariki dunia leo alfajiri
Taarifa zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) amepata ajali na kufariki dunia alfajiri ya leo eneo la Msolwa-Chalinze.
Modewji blog inaungana na wanachama wa DP pamoja na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Mchungaji Mtikila Amen.
Pichani ni gari iliyopinduka na kumuua Mchungaji Mtikila.
Taarifa za kifo chake...
9 years ago
Vijimambo07 Oct
MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AONGOZA WATANZANIA KUAGA MWILI WA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/812.jpg)
![L](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/L.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
JK aomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi na maombolezo kumlilia Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani), ambaye alipoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea alfajiri ya leo, Jumapili, Oktoba 4, 2015, katika Kijiji cha Msolwa, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Katika salamu zake za rambirambi kwa Chama cha DP, Rais Kikwete amesema: “ Nimepokea kwa huzuni kubwa taarifa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-se3eUCrjsbU/VNMTzBJa9KI/AAAAAAAB2-4/c5YGyvtxFpY/s72-c/img_9322.jpg)
Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n06lITZYOLA/U5cHe-2Z6MI/AAAAAAAAGc8/R7bU-qjuuQk/s72-c/WP_20140609_002.jpg)
MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM (TAIFA) AWAAPISHA WANACHAMA 367 WAPYA WA CCM WILAYA YA NYASA MKOANI RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n06lITZYOLA/U5cHe-2Z6MI/AAAAAAAAGc8/R7bU-qjuuQk/s1600/WP_20140609_002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KdnxJ1aW1n0/U5cI8AVOS6I/AAAAAAAAGeM/-12aGh-7FhU/s1600/WP_20140609_061.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dq_xphw_C8g/U5cHYdx-vxI/AAAAAAAAGc0/1Q3GNwFdZxA/s1600/WP_20140609_010.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI