Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NANI NI NANI URAIS: Mchungaji Christopher Mtikila: Mwenyekiti DP

>Mchungaji Christopher Mtikila ni Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP) ambacho kina usajili wa kudumu hapa Tanzania. Alizaliwa mwaka 1950 (ana umri wa miaka 65) mkoani Njombe, Kusini mwa nchi yetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP

Historia yake Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF

Ibrahim Lipumba ni mchumi wa kimataifa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Alizaliwa Juni 6, 1952 katika Kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Freeman Mbowe: Mwenyekiti wa Chadema

>Freeman Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Jina lake la kwanza “Freeman” waliwahi kupewa vijana wengi tu waliozaliwa mwaka ambao Tanganyika ilipata uhuru. Mbowe alizaliwa Septemba 14, 1961 hapahapa Tanzania. (atafikisha miaka 54 Septemba).

 

9 years ago

Michuzi

MWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa

 Wananchi wakimsikiliza Mhe. Deo Filikunjombe wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa  chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo

Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa  chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo Mhe DeomFilikunjombea akitoa mkono wa pole  kwa wafiwa  katikati ni mjane Mama Georgina  Mtikila. Waombolezaji wakiwa msibani Mhe Deo Filikunjombe na...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI: James Mbatia: Mwenyekiti wa NCCR — Mageuzi

Historia yake James Mbatia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR – Mageuzi na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alizaliwa Juni 10, 1964, Vunjo mkoani Kilimanjaro (atafikisha miaka 51 Juni mwaka huu).

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo

Historia yake Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yake Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Raia Mwema

Pengine Mchungaji Christopher Mtikila aliwahi mno kuzaliwa Tanzania!

NIKIWA kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Pugu kati ya mwaka 1992 na1994, nilikuwa

Kitila Mkumbo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani