NANI NI NANI URAIS: Mchungaji Christopher Mtikila: Mwenyekiti DP
>Mchungaji Christopher Mtikila ni Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP) ambacho kina usajili wa kudumu hapa Tanzania. Alizaliwa mwaka 1950 (ana umri wa miaka 65) mkoani Njombe, Kusini mwa nchi yetu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
Historia yake
Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
Ibrahim Lipumba ni mchumi wa kimataifa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Alizaliwa Juni 6, 1952 katika Kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora.
10 years ago
Mwananchi03 Jun
NANI NI NANI URAIS: Freeman Mbowe: Mwenyekiti wa Chadema
>Freeman Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Jina lake la kwanza “Freeman†waliwahi kupewa vijana wengi tu waliozaliwa mwaka ambao Tanganyika ilipata uhuru. Mbowe alizaliwa Septemba 14, 1961 hapahapa Tanzania. (atafikisha miaka 54 Septemba).
9 years ago
MichuziMWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa
![](http://4.bp.blogspot.com/-JfsniHqQuLE/VhaUgp0uifI/AAAAAAACBVo/YW1k6sEm_rw/s640/20151008_141201.jpg)
Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-X4doVtKLdCE/VhaW-wOj85I/AAAAAAACBWI/czbEaHjylxk/s640/20151008_141219.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KnS_ehTggc0/Vhacv89XSdI/AAAAAAACBWk/lqxuJWLX6Pw/s640/20151008_141335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LpFSxClOsTo/Vhadxin7m5I/AAAAAAACBWs/I4IcjSo1KtQ/s640/20151008_151006.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 May
NANI NI NANI: James Mbatia: Mwenyekiti wa NCCR — Mageuzi
Historia yake
James Mbatia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR – Mageuzi na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alizaliwa Juni 10, 1964, Vunjo mkoani Kilimanjaro (atafikisha miaka 51 Juni mwaka huu).
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
Historia yake
Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
Historia yake
Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Pengine Mchungaji Christopher Mtikila aliwahi mno kuzaliwa Tanzania!
NIKIWA kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Pugu kati ya mwaka 1992 na1994, nilikuwa
Kitila Mkumbo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania