NANI NI NANI: James Mbatia: Mwenyekiti wa NCCR — Mageuzi
Historia yake James Mbatia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR – Mageuzi na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alizaliwa Juni 10, 1964, Vunjo mkoani Kilimanjaro (atafikisha miaka 51 Juni mwaka huu).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_MfUZs2RstE/default.jpg)
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI, JAMES MBATIA AKARIBISHWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa ,James Mbatia akipungia wananchi wakati msafara wa pikipiki na magari ukipita katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Vunjo. Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa ,James Mbatia akifurahia jambo akiwa na mjumbe wa mkutano mkuu wa NCCR,Hemed Msabaha,(kulia)…
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI,JAMES MBATIA AKARIBISHWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.
Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...
9 years ago
GPLMAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI AMJIBU MBATIA
Kamishna wa NCCR-Mageuzi wa Mkoa wa Ruvuma, Mchatta Eric Mchatta (kushoto) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, Leticia Ghatti Mosore, na mwakilishi wa NCCR-Mageuzi, Hamlyn Erasto. Leticia Mosore (katikati) akisoma taarifa yake.…
10 years ago
MichuziWENYEVITI WA TAIFA WA VYAMA VYA NCCR -MAGEUZI ,JAMES MBATIA NA AGUSTINE MREMA WA TLP WAWANADI WAGOMBEA WAO JIMBONI VUNJO.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
VijimamboMBUNGE JAMES MBATIA AWASHUKURU WANANCHI JIMBO LA VUNJO KUKIUNGA MKONO CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
MBUNGE WA CHADEMA ARUMERU MASHARIKI JOSHUA NASSARI ASHIRIKI
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Joshua Nassari akiwasili katika mkutano huo.
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ,Ndolakindo Kessy akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Ghalani ,mji mdogo wa Himo ,mkutano uliokuwa na lengo la kuwashukuru wananchi wa Jimbo la Vunjo kukipa chama hicho viti vingi katika uchaguzi wa serikali za Mitaa,vijiji na Vitongoji.![](http://1.bp.blogspot.com/-i8QRNDG69Q4/VL0Ffoqcz9I/AAAAAAADMGo/PK1InGULVPw/s1600/DSCF9523.JPG)
Mh Nassari na Mh Mbatia wakitoa salamu kwa mamia...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
Historia yake
Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania