Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking News: Mchungaji Christopher Mtikila afariki dunia leo alfajiri

ChristopherMtikila

Taarifa zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) amepata ajali na kufariki dunia alfajiri ya leo eneo la Msolwa-Chalinze.

Modewji blog inaungana na wanachama wa DP pamoja na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Mchungaji Mtikila Amen.

mtikila

Pichani ni gari iliyopinduka na kumuua Mchungaji Mtikila.

Taarifa za kifo chake...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: Mchungaji Mtikila afariki katika ajali alfajiri leo


Mwanasiasa maarufu nchini Tanzania mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia Majira ya saa 10 alfajiri akitokea mkoani kwake Njombe katika kampeni .
 Taarifa zilizothibitishwa na mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini na mwenyekiti wa DP Mkoa Robart Kisinini wakati akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz amesema ni kweli mwenyekiti wake huyo Taifa amefariki dunia Kamanda wa polisi mkoa wa pwani pia amethibitisha.

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch Christopher Mtikila amefariki dunia kwa ajali ya gari kijiji iliyotokea cha Msolwa, Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali.
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV

 

5 years ago

CCM Blog

BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA

Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Askofu Gertrude Rwakatare amefariki dunia alfajiri ya leo ya Aprili 20, 2020.

Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.

 

9 years ago

GPL

TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA

Mwanasiasa mashuhuri nchini na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch.Christopher Mtikila amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Msolwa kilichopo Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafari Mohamed, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema Mtikila amefariki majira ya saa 11:45 asubuhi ya leo katika kijiji...

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO

Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama 'Banza stone' amefariki dunia nyumbani kwao  eneo la Sinza Kijiweni,jijini Dar hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone.

CHANZO: EAST AFRIKA RADIO

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili

4

Che Mundugwao enzi za uhai wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri  wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao  alifariki mchana wa leo.

Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia  chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea  kutolewa hapo baadae..ENDELEA...

 

5 years ago

CCM Blog

DC MTWARA EVOD MMANDA AFARIKI DUNIA ALFAJIRI YA LEO

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Evod Mmanda, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Aprili 27, 2020, katika Hospitali ya Ligula, Mtwara kutokana na maradhi ya moyo

Taarifa zinaeleza kuwa aliwahi kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam miezi minne iliyopita akisumbuliwa na matatizo ya presha kisha baadaye akaruhusiwa.

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na Rais John  Magufuli, Desemba 19, 2016, akichukua nafasi ya Dkt. Khatib Kazungu ambaye alihamishiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI

Aliyekuwa Sheikh mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Bin Shabani Simba enzi za uhai wake
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.

Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...

 

9 years ago

Raia Mwema

Pengine Mchungaji Christopher Mtikila aliwahi mno kuzaliwa Tanzania!

NIKIWA kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Pugu kati ya mwaka 1992 na1994, nilikuwa

Kitila Mkumbo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani