Breaking News: Mchungaji Christopher Mtikila afariki dunia leo alfajiri
Taarifa zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) amepata ajali na kufariki dunia alfajiri ya leo eneo la Msolwa-Chalinze.
Modewji blog inaungana na wanachama wa DP pamoja na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Mchungaji Mtikila Amen.
Pichani ni gari iliyopinduka na kumuua Mchungaji Mtikila.
Taarifa za kifo chake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-fnpv12H1L74/VhC2oSMu__I/AAAAAAACBTg/fuGVy5eo6Yg/s72-c/blogger-image--792387876.jpg)
STOP PRESS: Mchungaji Mtikila afariki katika ajali alfajiri leo
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fnpv12H1L74/VhC2oSMu__I/AAAAAAACBTg/fuGVy5eo6Yg/s640/blogger-image--792387876.jpg)
Mwanasiasa maarufu nchini Tanzania mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia Majira ya saa 10 alfajiri akitokea mkoani kwake Njombe katika kampeni .
Taarifa zilizothibitishwa na mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini na mwenyekiti wa DP Mkoa Robart Kisinini wakati akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz amesema ni kweli mwenyekiti wake huyo Taifa amefariki dunia Kamanda wa polisi mkoa wa pwani pia amethibitisha.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s72-c/ChristopherMtikila.jpg)
BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s640/ChristopherMtikila.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s72-c/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s400/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pYo728rS*VFWk2IGboNo2HD8b*BmSa8XNJVJf9rvXU*FIoIf4rbb*3a3Zva4oFlfXQh0UwMYDFCiNQYIM3PFsbQ*Yz0nlT0O/mtikil.png)
TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s72-c/banza%2Bstone.jpg)
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s640/banza%2Bstone.jpg)
CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili
Che Mundugwao enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao alifariki mchana wa leo.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapo baadae..ENDELEA...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n0oHh9p71B0/XqaQ5IF8wfI/AAAAAAACJ_o/mpknyuisUdI7qwZryVqgcwe-xrxexPwPQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200427_105547.jpg)
DC MTWARA EVOD MMANDA AFARIKI DUNIA ALFAJIRI YA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-n0oHh9p71B0/XqaQ5IF8wfI/AAAAAAACJ_o/mpknyuisUdI7qwZryVqgcwe-xrxexPwPQCLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200427_105547.jpg)
Taarifa zinaeleza kuwa aliwahi kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam miezi minne iliyopita akisumbuliwa na matatizo ya presha kisha baadaye akaruhusiwa.
Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na Rais John Magufuli, Desemba 19, 2016, akichukua nafasi ya Dkt. Khatib Kazungu ambaye alihamishiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s72-c/MSIKITI.2.jpg)
BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s640/MSIKITI.2.jpg)
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Pengine Mchungaji Christopher Mtikila aliwahi mno kuzaliwa Tanzania!
NIKIWA kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Pugu kati ya mwaka 1992 na1994, nilikuwa
Kitila Mkumbo