Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili
Che Mundugwao enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao alifariki mchana wa leo.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapo baadae..ENDELEA...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s72-c/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
TANZIA: CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s1600/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
Kabla ya kufikwa na mauti, Che Mundugwao aliugua na kulazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa muda mrefu.
Che Mundugwao alikuwa anashikiliwa katika gereza la Segerea kwa kukosa dhamana ya kesi yake, ya kukutwa na pasi za kusafiria 12 za watu tofauti tofauti bila kuwa na maelezo yake.
Taarifa zaidi zitawajia baadae...
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Che Mundugwao afariki dunia
NA RHOBI CHACHA
ALIYEWAHI kuwa Mjumbe wa Bodi na Katibu Mkuu wa Chama cha Muziki wa Asili nchini, mwanamuzi Chigwele che Mundugwao, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Muhimbili, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Che Mundugwao (48) aliyewahi kutamba na nyimbo mbalimbali za ngoma za asili ikiwemo ya ‘Tumetoka Kwetu Mayenge’, pia alikuwa mtayarishaji wa vipindi vya muziki vya redio.
Rais wa Shiriko la Muziki, Samweli Mbwana (Bratoni),
aliliambia Mtanzania kwamba msanii huyo aliyekuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5ML8XfOenEKC3IugBNVWBXJuLW*Qe6VqhOQLeVEoDFZ0pIFKEXPYEqa1cO4bCOOViRNOwyHdUfH5nXaNUz*FSvq/ChigweleCheMundugwao.jpg)
TANZIA: CHIGWELE CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s72-c/banza%2Bstone.jpg)
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s640/banza%2Bstone.jpg)
CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
Breaking News: Mchungaji Christopher Mtikila afariki dunia leo alfajiri
Taarifa zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) amepata ajali na kufariki dunia alfajiri ya leo eneo la Msolwa-Chalinze.
Modewji blog inaungana na wanachama wa DP pamoja na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Mchungaji Mtikila Amen.
Pichani ni gari iliyopinduka na kumuua Mchungaji Mtikila.
Taarifa za kifo chake...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s72-c/MSIKITI.2.jpg)
BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s640/MSIKITI.2.jpg)
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...
11 years ago
Michuzi06 Jun
BREAKING NYUZZZZ....: MCHEZAJI WA ZAMANI WA TIMU YA SIMBA,GEBBO PETER AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
GLOGU YA JAMII INAFATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA HUO NA TUTAENDELEA KUTAARIFIANA KADRI TUTAKAVYOKUWA TUKIZIPATA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s72-c/BANZA.jpg)
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s640/BANZA.jpg)
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.