TANZIA: CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s72-c/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
Mwanamuziki Mkongwe wa Nyimbo za Asili hapa nchini, Chigwele Che Mundugwao (pichani) amefariki Dunia mapema leo asubuhi kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar es salaam.
Kabla ya kufikwa na mauti, Che Mundugwao aliugua na kulazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa muda mrefu.
Che Mundugwao alikuwa anashikiliwa katika gereza la Segerea kwa kukosa dhamana ya kesi yake, ya kukutwa na pasi za kusafiria 12 za watu tofauti tofauti bila kuwa na maelezo yake.
Taarifa zaidi zitawajia baadae...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5ML8XfOenEKC3IugBNVWBXJuLW*Qe6VqhOQLeVEoDFZ0pIFKEXPYEqa1cO4bCOOViRNOwyHdUfH5nXaNUz*FSvq/ChigweleCheMundugwao.jpg)
TANZIA: CHIGWELE CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili
Che Mundugwao enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao alifariki mchana wa leo.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapo baadae..ENDELEA...
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Che Mundugwao afariki dunia
NA RHOBI CHACHA
ALIYEWAHI kuwa Mjumbe wa Bodi na Katibu Mkuu wa Chama cha Muziki wa Asili nchini, mwanamuzi Chigwele che Mundugwao, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Muhimbili, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Che Mundugwao (48) aliyewahi kutamba na nyimbo mbalimbali za ngoma za asili ikiwemo ya ‘Tumetoka Kwetu Mayenge’, pia alikuwa mtayarishaji wa vipindi vya muziki vya redio.
Rais wa Shiriko la Muziki, Samweli Mbwana (Bratoni),
aliliambia Mtanzania kwamba msanii huyo aliyekuwa...
10 years ago
GPLTANZIA: MENEJA WA JAMBO LEO, RAMADHANI KIBANIKE AFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
TANZIA:Aliyekuwa mnenguaji wa muziki wa Bendi, Aisha Madinda Afariki Dunia Hii Leo
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar
Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu...
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
TANZIA:Aliekuwa mneguaji wa muziki wa Bendi Aisha Madinda Afariki Dunia Hii Leo
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar
Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p0ZiZvXgHQhqnmHaH8rDEE2wUQXLJKwT1RaOgJwObV3fBao7kDv61juqgGYaFcHrCHFO7qfAjk-QjSGiRA8SgUgRNd3iXdaa/BREAKING.gif)
TANZIA: MSANII MKONGWE WA FILAMU, MZEE KANKAA AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO JIONI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s72-c/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
TANZIA: Mama mzazi wa katibu wa mbunge Al Shaimar Kweigyir afariki dunia leo Kibaha, Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s1600/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2AStWy5W0kg/U5rKT7EtTZI/AAAAAAAFqUs/MBF-1NBIe4g/s72-c/Bondia+Mkongwe+Iraki+Hudu(mwenye+miwani)+na+Mwanae+Dani+Hudu.jpg)
Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam