TANZIA:Aliyekuwa mnenguaji wa muziki wa Bendi, Aisha Madinda Afariki Dunia Hii Leo
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar
Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
TANZIA:Aliekuwa mneguaji wa muziki wa Bendi Aisha Madinda Afariki Dunia Hii Leo
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar
Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SPuM4eOYkxU/VJFb6VSckHI/AAAAAAAG3xM/tVCB4A7j99I/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
JUST IN: mnenguaji aisha madinda afariki dunia leo
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Mnenguaji Aisha Madinda afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtxGrrmaxHlsrpt3PHGBJvNedT0loTFwJ0Iyse8-QdvFuIRbF3IWa1f0SlXd2rt49LSrY89XG4o8BsskYdSmlUW/breakingnews.gif)
AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Pumzika kwa amani mnenguaji Aisha Madinda
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANZIA: ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu (mstaafu) Dkt. Mohamed Mhita kilichotokea siku ya Jumatatu tarehe 06 Aprili 2015 katika hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mhita alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa iliyokuwa Idara Kuu ya Hali ya Hewa kwa kipindi cha miaka 8 kuanzia 1992 hadi 1999 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kipindi cha miaka 9 kuanzia 1999...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hgH_XyluEIE/VlhGtgvxRRI/AAAAAAAIIm8/NLE-p7CaOFc/s72-c/20151127032037.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s72-c/0001.jpg)
tanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-ROpU0VKigkU/VMWozGyhbFI/AAAAAAAAWKw/SIQg6lwna4Q/s1600/0001.jpg)
Aliyekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s72-c/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
TANZIA: CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s1600/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
Kabla ya kufikwa na mauti, Che Mundugwao aliugua na kulazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa muda mrefu.
Che Mundugwao alikuwa anashikiliwa katika gereza la Segerea kwa kukosa dhamana ya kesi yake, ya kukutwa na pasi za kusafiria 12 za watu tofauti tofauti bila kuwa na maelezo yake.
Taarifa zaidi zitawajia baadae...