BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s72-c/banza%2Bstone.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama 'Banza stone' amefariki dunia nyumbani kwao eneo la Sinza Kijiweni,jijini Dar hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone.
CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!
Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.
Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s72-c/BANZA.jpg)
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s640/BANZA.jpg)
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
10 years ago
Bongo517 Jul
Banza Stone afariki dunia (Details)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgxAyyZcFrNcptOSnN5iMZcOAAbRqOWYGwHNN3mSjLo2pIfYaUvV31nTFNWG7aNxuH5jTP5pfH1-RE*7PcpmXgc/BREAKING.gif)
SIMANZI: MWANAMUZIKI BANZA STONE AFARIKI DUNIA
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
Breaking News: Mchungaji Christopher Mtikila afariki dunia leo alfajiri
Taarifa zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) amepata ajali na kufariki dunia alfajiri ya leo eneo la Msolwa-Chalinze.
Modewji blog inaungana na wanachama wa DP pamoja na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Mchungaji Mtikila Amen.
Pichani ni gari iliyopinduka na kumuua Mchungaji Mtikila.
Taarifa za kifo chake...
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili
Che Mundugwao enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao alifariki mchana wa leo.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapo baadae..ENDELEA...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s72-c/MSIKITI.2.jpg)
BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s640/MSIKITI.2.jpg)
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s72-c/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s400/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.