BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!
Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.
Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.
10 years ago
Bongo517 Jul
Banza Stone afariki dunia (Details)
Muimbaji wa muziki wa dansi aliyewahi kutamba akiwa na bendi mbalimbali zikiwemo Twanga Pepeta na TOT Band, Ramadhan Masanja maarufu kama Banza Stone amefariki dunia mchana wa Ijumaa, July 17. Banza alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Taarifa kuhusu kifo chake zimethibitishwa na kaka yake pamoja na mmiliki wa Twanga Pepeta, […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgxAyyZcFrNcptOSnN5iMZcOAAbRqOWYGwHNN3mSjLo2pIfYaUvV31nTFNWG7aNxuH5jTP5pfH1-RE*7PcpmXgc/BREAKING.gif)
SIMANZI: MWANAMUZIKI BANZA STONE AFARIKI DUNIA
Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia mchana huu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kaka wa marehemu aitwaye Hamis amethibisha msiba huo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s72-c/banza%2Bstone.jpg)
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s640/banza%2Bstone.jpg)
CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s72-c/BANZA.jpg)
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s640/BANZA.jpg)
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0UIAsZSo6K*2c1keocTVRrzZY5XsSt81UApEpBUpmf*MLuqEVsDw2VlPL7NuHSh*uS7bjp4XaPpZ*XSCQDGNYMR/banza.jpg)
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
Stori: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’ amefunguka kwamba ndoa yake itafanyika kimyakimya na hakuna msanii atakayeshiriki. Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza alisema ndoa yake haitakuwa na michango, kwani atamuita sheikh na watoto wa madrasa kwa ajili ya kupiga dufu, huku mama yake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIJdC1DLPq0wWBtW3NW7Y*2B-oK2dC5XwpXC5PqC3dRcP-ZC451mlxKBgT4SPfER8qHTEQmIgJlFEzpAIK9b4aZ/10.jpg)
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. RAMADHANI Masanja ‘Banza Stone’ ni mwanamuziki mkubwa wa muziki wa dansi la kileo. Dansi la kileo ninamaanisha hili linalopigwa na bendi zinazochombeza na sebene za Kikongo. Sina uhakika sana, lakini sidhani kama itakuwa sahihi kwa shabiki wa muziki huu, kumuondoa Le General katika Tatu Bora, kama ataamua kuwapanga mastaa wake kwa namba, kutokana na uwezo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrggmwMbR64QZ3UfOCNazHqs07eV2xs8TU7GJ5k75U1j8qe1-s1GISo3lgxxPBgjZ23paSPCmC06in-b-btL35ZHi/BACKWIKIENDA.jpg)
DAKTARI AANIKA UGONJWA WA BANZA STONE
Gladness Mallya/ijumaawikienda
Inasikitisha sana! Huku akitundikiwa dripu nyumbani kwao, Sinza ya Vatican jijini Dar, daktari ameanika ugonjwa unaomtesa staa wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kuwa vipimo vinaonesha anashambuliwa na fangasi kichwani (ubongo) na shingoni. Staa wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. YU HOI TENA
Habari zinaeleza kuwa tatizo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania