Banza Stone afariki dunia (Details)
Muimbaji wa muziki wa dansi aliyewahi kutamba akiwa na bendi mbalimbali zikiwemo Twanga Pepeta na TOT Band, Ramadhan Masanja maarufu kama Banza Stone amefariki dunia mchana wa Ijumaa, July 17. Banza alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Taarifa kuhusu kifo chake zimethibitishwa na kaka yake pamoja na mmiliki wa Twanga Pepeta, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
SIMANZI: MWANAMUZIKI BANZA STONE AFARIKI DUNIA
10 years ago
Vijimambo
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO

CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
10 years ago
Vijimambo
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA

Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!
Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.
Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
11 years ago
GPL
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
10 years ago
GPL
BANZA STONE: UGONJWA HUU UTANIUA!