SIMANZI: MWANAMUZIKI BANZA STONE AFARIKI DUNIA

Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia mchana huu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kaka wa marehemu aitwaye Hamis amethibisha msiba huo.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Jul
Banza Stone afariki dunia (Details)
10 years ago
Vijimambo
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO

CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
10 years ago
Michuzi
Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone

10 years ago
Vijimambo
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA

Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
10 years ago
Michuzi
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam



10 years ago
Vijimambo
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam

10 years ago
GPL
MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!
Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.
Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.