Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s72-c/b1.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akilakiwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrer Mngereza alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam leo Jumamosi Julai 18, 2015. Marehemu Banza Stone, aliyefariki jana mchana baada ya kuugua kwa muda mrefu, amezikwa jioni hii katika makaburi ya Sinza. Marehemu Banza Stone atakumbukwa kwa umahiri wake wa utunzi na uimbaji alipokuwa na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s72-c/b5.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s640/b5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WWwDQ6g0heM/VapaCIjGUbI/AAAAAAAHqWc/KxmNknAURCI/s640/b6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K_DpjCSaNI/VapaD8mAVfI/AAAAAAAHqWo/435Td19g5qg/s640/b8.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ND0izCP6zzw/VapZ4Im8nxI/AAAAAAAHqV4/erlbWAEU3GY/s640/b2.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/U0faca4PGo8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s72-c/images.jpg)
Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s640/images.jpg)
Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DlU6aM_YHaM/U7bzO7dPPvI/AAAAAAAFvC4/RoqrVWXXG48/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mama Salma Kikwete atembelea maonesho ya sabasaba jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DlU6aM_YHaM/U7bzO7dPPvI/AAAAAAAFvC4/RoqrVWXXG48/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eHzggcnNmSs/U7bzQNc8okI/AAAAAAAFvDE/wVi99O46m4g/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7Cn9ebi4iYw/U5XUqFJIFyI/AAAAAAAFpLM/CEwN9msyvP0/s72-c/16.jpg)
RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Cn9ebi4iYw/U5XUqFJIFyI/AAAAAAAFpLM/CEwN9msyvP0/s1600/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVXjmxkPmM/U5XUplUezCI/AAAAAAAFpLI/rz-rCnDTMfU/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UjNnWqonmuI/U5XWQy_pcAI/AAAAAAAFpP4/-ElXwHuRzVk/s1600/_5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwrGe28cIOU/U5XWQZ_LE-I/AAAAAAAFpPw/1rkRJa3Ip8s/s1600/_4.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-kyarACRzXWE%2FVLa0_lUUHRI%2FAAAAAAADVgE%2Fl7kiswmur5s%2Fs1600%2Faa4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s72-c/20150717055204.jpg)
UP DATES: MSIBA WA BANZA STONE NYUMBANI KWAO SINZA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s640/20150717055204.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1alDyW0Btnw/Vaj7E4R0cSI/AAAAAAAHqPk/BEaGxxny6ww/s640/20150717055203.jpg)
Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AN2gae_650o/Vaj7FAxpV1I/AAAAAAAHqPs/Dc0ubGe0hq0/s640/20150717055205.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...