NGOMA AZIPENDAZO ANKAL: TUMKUMBUKE RAMADHANI MWANA MASANJA BANZA STONE NUMBER ONE
![](http://img.youtube.com/vi/U0faca4PGo8/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s72-c/images.jpg)
Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s640/images.jpg)
Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s72-c/b5.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s640/b5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WWwDQ6g0heM/VapaCIjGUbI/AAAAAAAHqWc/KxmNknAURCI/s640/b6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K_DpjCSaNI/VapaD8mAVfI/AAAAAAAHqWo/435Td19g5qg/s640/b8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s72-c/b1.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s640/b1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ND0izCP6zzw/VapZ4Im8nxI/AAAAAAAHqV4/erlbWAEU3GY/s640/b2.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam jana Jumamosi Julai 18, 2015.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1qsExLqCn44/VZec5o6lUxI/AAAAAAAHmv4/KmtDA-zYFuE/s72-c/BANZA.jpg)
BASATA YAMJULIA HALI MSANII RAMADHAN MASANJA (BANZA STONE)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qsExLqCn44/VZec5o6lUxI/AAAAAAAHmv4/KmtDA-zYFuE/s400/BANZA.jpg)
Lengo la ziara hii ilikuwa kumjulia hali Msanii huyu mahiri wa Bendi na kushauriana na familia yake juu ya namna bora ya kusaidia matibabu yake na kuhakikisha anapata...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bJubfyXMsOc/default.jpg)
ngoma azipendazo ankal - special request from Ras Makunja wa Ngoma Afrika band, Ujerumani
Simba Wanyika - Halleluja
11 years ago
Michuzi20 Feb
ngoma azipendazo ankal
Ngoma ya 'Malaika' na Ngoma African Band wana FFU Ughaibuni chini ya Ras Makunja
11 years ago
Michuzi31 Jan
ngoma azipendazo ankal
ODYSSEY WANAKUPA 'GOING BACK TO MY ROOTS' MWAKA 1981
-Makala hii ni kwa udhamini wa The Legend is Back @ Isumba Lounge, Dar es salaam ambao wameingia mkataba na Globu ya Jamii leo hii kurudisha enzi za enzi za disco katika miondoko ya Old School. Usikose kuchungulia hapa kila siku kuanzia saa 12 asubuhi usikie na kuona mambo ya Isumba Lounge kwa mwezi huu mzima wa Februari 2014.
-Makala hii ni kwa udhamini wa The Legend is Back @ Isumba Lounge, Dar es salaam ambao wameingia mkataba na Globu ya Jamii leo hii kurudisha enzi za enzi za disco katika miondoko ya Old School. Usikose kuchungulia hapa kila siku kuanzia saa 12 asubuhi usikie na kuona mambo ya Isumba Lounge kwa mwezi huu mzima wa Februari 2014.
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Banza Stone: Alianza muziki kwa kuwa mwana Hip Hop 1989
>Kati ya mambo ambayo huenda ulikuwa huyajui, ni kuhusu mwanamuziki wa dansi nchini Ramadhani Masanja, ‘Banza Stone’, mmoja kati ya wanamuziki wa dansi wa kizazi kipya wanaosisimua jukwaani kuwa aliwahi kuwa mwana Hip Hop.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania