Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Banza Stone: Alianza muziki kwa kuwa mwana Hip Hop 1989

>Kati ya mambo ambayo huenda ulikuwa huyajui, ni kuhusu mwanamuziki wa dansi nchini Ramadhani Masanja, ‘Banza Stone’, mmoja kati ya wanamuziki wa dansi wa kizazi kipya wanaosisimua jukwaani kuwa aliwahi kuwa mwana Hip Hop.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANA HIP HOP FLABBA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MPENZI WAKE AFRIKA KUSINI

Nkululeko Habedi maarufu kwa jina la Flabba enzi za uhai wake. Flabba (wa kwanza kushoto waliochuchumaa ) akiwa na wanamuziki wenzake wa Skwatta Kamp. MWANA Hip hop wa Afrika Kusini, Nkululeko Habedi maarufu kwa jina la Flabba (38) ameuawa kwa kuchomwa kisu na mtu anayedaiwa kuwa mpenzi wake akiwa nyumbani kwake Alexandra jijini…

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA adai Hip hop imepoteza maana yake

11249868_666551486778035_1351011407_n

Mwana FA amesema hawezi kuwaunga mkono wasanii wanaopoteza misingi ya muziki wa Hip Hop kwa sababu ya kutengeneza pesa na kuacha changamoto zinazowakabili watanzania

12237384_1626174140976666_877565606_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, FA alisema sio lazima kwa msanii kufanya kitu ambacho hana uhakika nacho, hata kama kinaingiza pesa nyingi.

“Iko so obvious muziki umebadilika sana, umetoka katika ile misingi iliyowekwa na sababu zake za kuwepo, umekuwa kuhusu starehe na hela peke...

 

11 years ago

GPL

MWANA HIP HOP DARASA NDANI YA GLOBAL TV ONLINE USIKU HUU

Mwana Hip hop, Shariff Thabeet 'Darasa' pamoja na Presenta Pamela Daffa 'The Mic Queen' ndani ya Global TV Online. Darasa katika pozi. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kwa miondoko ya Hip hop, Shariff Thabeet 'Darasa' leo yupo ndani ya studio za Globa TV Online akifanya mahojiano na Presenta mkali, Pamela Daffa 'The Mic Queen'. (PICHA NA CLARENCE MULISA /… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Muziki wa Hip Hop miaka 40 baadaye

Mchipuko, wasanii na historia ya miaka arobaini ya muziki wa Hip Hop. Nini kimebadilika?

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!

IMG_8689

 

Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.

Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.

 

9 years ago

Bongo5

Muziki wa Hip Hop haupo kibiashara — Young Dee

Rapper Young Dee amesema muziki wa Hip Hop haupo kibiashara na kwamba wasanii wanaofanya muziki huo wanafanya kwaajili ya passion tu. Akizungumza jana na E-Newz ya EATV, Young Dee alisema kama msanii wa Hip Hop anataka kufanya biashara ni muhimu atoe nyimbo mara kwa mara. “Kwa upande wangu mimi hapa haijakaa kibiashara sana kihivyo,” alisema. […]

 

9 years ago

Vijimambo

SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP

Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti AbdulrahmanKipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia ya wanamuziki hao.Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani