INTERVIEW YA MWISHO KWA BANZA GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA BANZA STONE
![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL17 Mar
GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA BANZA STONE
Nguli wa Muziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja 'Banza Stone' akifunguka alipolonga na Global TV Online katika kipindi cha Mtu Kati!
11 years ago
GPL22 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/FyK0VE8PznM/default.jpg)
10 years ago
GPL18 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s72-c/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone
![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s640/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Banza Stone: Alianza muziki kwa kuwa mwana Hip Hop 1989
>Kati ya mambo ambayo huenda ulikuwa huyajui, ni kuhusu mwanamuziki wa dansi nchini Ramadhani Masanja, ‘Banza Stone’, mmoja kati ya wanamuziki wa dansi wa kizazi kipya wanaosisimua jukwaani kuwa aliwahi kuwa mwana Hip Hop.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIJdC1DLPq0wWBtW3NW7Y*2B-oK2dC5XwpXC5PqC3dRcP-ZC451mlxKBgT4SPfER8qHTEQmIgJlFEzpAIK9b4aZ/10.jpg)
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. RAMADHANI Masanja ‘Banza Stone’ ni mwanamuziki mkubwa wa muziki wa dansi la kileo. Dansi la kileo ninamaanisha hili linalopigwa na bendi zinazochombeza na sebene za Kikongo. Sina uhakika sana, lakini sidhani kama itakuwa sahihi kwa shabiki wa muziki huu, kumuondoa Le General katika Tatu Bora, kama ataamua kuwapanga mastaa wake kwa namba, kutokana na uwezo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0UIAsZSo6K*2c1keocTVRrzZY5XsSt81UApEpBUpmf*MLuqEVsDw2VlPL7NuHSh*uS7bjp4XaPpZ*XSCQDGNYMR/banza.jpg)
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
Stori: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’ amefunguka kwamba ndoa yake itafanyika kimyakimya na hakuna msanii atakayeshiriki. Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza alisema ndoa yake haitakuwa na michango, kwani atamuita sheikh na watoto wa madrasa kwa ajili ya kupiga dufu, huku mama yake...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania