Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL TV ONLINE: SHUHUDIA MAHOJIANO YA MWISHO YA BANZA STONE, HALI ILIVYO KATIKA MSIBA WAKE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA BANZA STONE

Nguli wa Muziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja 'Banza Stone' akifunguka alipolonga na Global TV Online katika kipindi cha Mtu Kati!

 

10 years ago

Michuzi

Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone

Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja "Banza Stone" wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi  kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.

 

10 years ago

GPL

BASATA YAMJULIA HALI MSANII BANZA STONE

 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI BASATA YAMJULIA HALI MSANII RAMADHAN MASANJA (BANZA STONE) Timu ya watendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ikiongozwa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Bi. Vivian Nsao Shalua mapema jana imemtembelea Msanii na mwimbaji wa muziki wa Bendi ndugu Ramadhan Masanja ‘Banza Stone” ambaye kwa muda sasa amekuwa akiugua nyumbani kwao maeneo ya Sinza  Jijini Dar es Salaam. Lengo...

 

10 years ago

Michuzi

UP DATES: MSIBA WA BANZA STONE NYUMBANI KWAO SINZA JIJINI DAR

 Baadhi ya ndugu na jamaa wa Marehemu Ramadhan Massanja "Banza Stone" wakijadiliana jambo mchana huu, nyumbani kwao Sinza Lion, Jijini Dar es salaam.
Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.

 

10 years ago

Michuzi

BASATA YAMJULIA HALI MSANII RAMADHAN MASANJA (BANZA STONE)

Timu ya watendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ikiongozwa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Bi. Vivian Nsao Shalua mapema jana imemtembelea Msanii na mwimbaji wa muziki wa Bendi ndugu Ramadhan Masanja ‘Banza Stone” (pichani) ambaye kwa muda sasa amekuwa akiugua nyumbani kwao maeneo ya Sinza  Jijini Dar es Salaam.
Lengo la ziara hii ilikuwa kumjulia hali Msanii huyu mahiri wa Bendi na kushauriana na familia yake juu ya namna bora ya kusaidia matibabu yake na kuhakikisha anapata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani