BASATA YAMJULIA HALI MSANII BANZA STONE

 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI BASATA YAMJULIA HALI MSANII RAMADHAN MASANJA (BANZA STONE) Timu ya watendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ikiongozwa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Bi. Vivian Nsao Shalua mapema jana imemtembelea Msanii na mwimbaji wa muziki wa Bendi ndugu Ramadhan Masanja ‘Banza Stone†ambaye kwa muda sasa amekuwa akiugua nyumbani kwao maeneo ya Sinza Jijini Dar es Salaam. Lengo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BASATA YAMJULIA HALI MSANII RAMADHAN MASANJA (BANZA STONE)

Lengo la ziara hii ilikuwa kumjulia hali Msanii huyu mahiri wa Bendi na kushauriana na familia yake juu ya namna bora ya kusaidia matibabu yake na kuhakikisha anapata...
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!
Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.
Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.
10 years ago
GPL18 Jul
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
10 years ago
Vijimambo
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA

Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
11 years ago
GPL
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
10 years ago
Bongo517 Jul
Banza Stone afariki dunia (Details)