Mtikila azikwa Ludewa
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila umezikwa jana katika Kijiji na Kata ya Milo, Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa
![](http://4.bp.blogspot.com/-JfsniHqQuLE/VhaUgp0uifI/AAAAAAACBVo/YW1k6sEm_rw/s640/20151008_141201.jpg)
Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-X4doVtKLdCE/VhaW-wOj85I/AAAAAAACBWI/czbEaHjylxk/s640/20151008_141219.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KnS_ehTggc0/Vhacv89XSdI/AAAAAAACBWk/lqxuJWLX6Pw/s640/20151008_141335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LpFSxClOsTo/Vhadxin7m5I/AAAAAAACBWs/I4IcjSo1KtQ/s640/20151008_151006.jpg)
9 years ago
TheCitizen18 Oct
Teary send-off for Ludewa MP
President Jakaya Kikwete led hundreds of mourners to pay their last respects to former Ludewa MP Deogratius Filikunjombe at the Lugalo Military Hospital in Dar es Salaam yesterday.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qlxufolhCB8/VEewp7c5SzI/AAAAAAAAYRU/V31Q8Kuv-Ds/s72-c/1.jpg)
Y P AZIKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qlxufolhCB8/VEewp7c5SzI/AAAAAAAAYRU/V31Q8Kuv-Ds/s1600/1.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
Mtikila ajipeleka mahakamani
Na Fadhili Abdallah, KigomaMWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ameomba kuunganishwa katika kesi ya madai inayomkabili Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imefungua kesi ya madai dhidi ya Kafulila katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba aamriwe kuilipa fidia ya sh. bilioni 310 kutokana na kutangaza taarifa za kashfa dhidi yao.Katika kesi yao ya msingi, wadai hao wanaiomba...
11 years ago
Daily News21 Mar
Mtikila alleges intimidation
Daily News
A CONSTITUENT Assembly (CA) member, Reverend Christopher Mtikila, has called for respect for all assembly members during sessions, because they represent views from different groups. Speaking on Thursday, Rev Mtikila who is also the chairman of ...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Buriani Mchungaji Mtikila
HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak
Mwandishi Wetu
9 years ago
TheCitizen09 Oct
Mtikila laid to rest
Democratic Party (DP) chairman Christopher Mtikila was laid to rest yesterday at his home village in Ludewa District.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2iq9fO*-SmmsEhLkUGzBV802isbXiWlgELq7iSIb6Vzsv9QWWPdq*E1MMRAqaSNbkYs3RERQpxbgCtheXhW3wFG/mtikila.jpg?width=650)
LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!
Mwandishi Wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, anatarajia kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, imefahamika. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Duru za siasa kutoka ndani ya Ukawa, zimebainisha kwamba, licha ya kusambazwa kwenye mitandao kwa taarifa za...
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Mbunge wa Ludewa amwagiwa sifa
NA SHEILA SIMBA, LUDEWA
KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Rachel Kassanda, amempongeza Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe, kwa jitihada za maendeleo zinazofanyika katika jimbo hilo.
Wakati Filikunjombe akipongezwa, kiongozi huyo alimshambulia Diwani wa Kata la Mlangali, Faraja Mlelwa (CHADEMA) kwa kushindwa kushiriki mbio za mwenge katika kata yake.
“Miradi saba yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tatu katika jimbo la Ludewa ambayo mwenge unaipitia ni mikubwa. Ni wazi Filikunjombe...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania