LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!
![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2iq9fO*-SmmsEhLkUGzBV802isbXiWlgELq7iSIb6Vzsv9QWWPdq*E1MMRAqaSNbkYs3RERQpxbgCtheXhW3wFG/mtikila.jpg?width=650)
Mwandishi Wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, anatarajia kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, imefahamika. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Duru za siasa kutoka ndani ya Ukawa, zimebainisha kwamba, licha ya kusambazwa kwenye mitandao kwa taarifa za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Msafara wa Lowassa wazuiwa kumzika Kisumo
10 years ago
Daily News03 Aug
Mtikila threatens to sue Magufuli, Lowassa
IPPmedia
Daily News
DEMOCRATIC Party (DP) National Chairman, Reverend Christopher Mtikila, has vowed to file a court injunction for both Chama Cha Mapinduzi (CCM) presidential aspirant Dr John Magufuli and the expected UKAWA candidate, Mr Edward Lowassa, for what ...
Presidential aspirant stuck in elevator, pours scorn on CCMIPPmedia
all 3
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Lowassa, Magufuli rasmi, Mtikila aenguliwa NEC
9 years ago
Vijimambo17 Sep
MCHUNGAJI MTIKILA AIBUKA NA KIHOJA HIKI LEO,NAYE AUNGANA NA LIPUMBA NA SLAA KUIMBA WIMBO WA LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA
NA KAROLI VINSENTMWENYEKITI wa cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kihoja pale alipowataka Watanzania siku ya kupiga kura tarehe 25 octoba mwaka huu kutoipigia kura kipengele cha Urais na wataka watanzaniakuwachagua wabunge na Madiwani peke yake,kwakuwa wagombea wote wa urais waliosiamishwa kwenye vyama vayo hawana uwezo wa kuliongoza taifa hili.Kauli ya hiyo ya Mchangaji Mtikila ameitoa leo Jijini Dar es Saalam wakati wa mkutano na waandishi wa Habari ambapo...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Dk. Bilal kumzika Gurumo
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Mamia wajitokeza kumzika Mez B
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.
“Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia Mungu na alikuwa akinijibu itafika wakati mimi wa yeye kufanya hivyo,” alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*B180K2ZGEO4-uCqjaUfFJXP5EU5tM0XNFNb2nag05R5nGMAGGX2LU05CgQ3ly2b**EMy6oq2N1TadyTyoFoxwg/backAMANI.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMNYONGA MWANAYE NA KUMZIKA
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mamia wajitokeza kumzika Gurumo