Dk. Bilal kumzika Gurumo
>Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal anatarajiwa kuongoza msafara wa mazishi ya mwanamuziki nguli Muhidin Maalim Gurumo yatakayofanyika leo katika Kijiji cha Masaki Wilaya ya Kisarawe Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mamia wajitokeza kumzika Gurumo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkY2Ya*bV9hcwEjEqSDs-v9mKv3nGr-MtcV7ADbul4LJMITTuwmSxPvqC2Fch7k6teK*W1UHJ5AG8eqTDgRgOL2/wema1.jpg?width=650)
WEMA AMFUNGIA DIAMOND, ASHINDWA KUMZIKA MZEE GURUMO
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aongoza waombolezaji msiba wa Maalim Muhidin Gurumo, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, na baadhi ya waombolezaji wakati alipowasili nyumbani kwa marehemu Maalim Muhidin Gurumo, Mabibo jijini Dar es Salaam, kwa ajili kuaga mwili wa marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Kijijini kwao Masaki Wilaya ya Kisarawe kwa maziko, leo, Aprili 15, 2014 . Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kFiqzBFCiUQ/VDzqXdG6MtI/AAAAAAADJsM/1wJkfDbkJzQ/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WANANCHI WA SENGEREMA KUMZIKA DKT. SHIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kFiqzBFCiUQ/VDzqXdG6MtI/AAAAAAADJsM/1wJkfDbkJzQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bWYadoCCK7U/VDzqXVjWt8I/AAAAAAADJsQ/xlwd91__Xsw/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaongoza wananchi wa Sengerema kumzika Dkt. Shija
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika Kijijini kwake, Nyampande Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza, jana Oktoba 13, 2014. (Picha na OMR).
Spika wa Bunge la Jamhuri, Mhe. Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2iq9fO*-SmmsEhLkUGzBV802isbXiWlgELq7iSIb6Vzsv9QWWPdq*E1MMRAqaSNbkYs3RERQpxbgCtheXhW3wFG/mtikila.jpg?width=650)
LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*B180K2ZGEO4-uCqjaUfFJXP5EU5tM0XNFNb2nag05R5nGMAGGX2LU05CgQ3ly2b**EMy6oq2N1TadyTyoFoxwg/backAMANI.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMNYONGA MWANAYE NA KUMZIKA
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Mamia wajitokeza kumzika Mez B
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.
“Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia Mungu na alikuwa akinijibu itafika wakati mimi wa yeye kufanya hivyo,” alisema...